BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Licha ya elimu yake ndogo ya Darasa la 7, Mzee Kishimba alianza biashara akiwa na miaka 14 baada ya kuacha shule na kukimbilia kuchimba madini ya Dhahabu katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kwa sasa amejijengea jina kubwa Bungeni kwa miongoni mwa Wabunge wanaotoa hoja za kipekee sana na michango yenye nguvu Bungeni.
Msikilize zaidi hapa. Credit #Dar24
Msikilize zaidi hapa. Credit #Dar24