Je wajua: Mbunge Jumanne Kishimba ndiye mmiliki wa Dar Free Market na Imalaseko Supermarket

Je wajua: Mbunge Jumanne Kishimba ndiye mmiliki wa Dar Free Market na Imalaseko Supermarket

Kishimba ndio mtu wa kwanza Tanzania kuleta teknolojia ya kuozesha marudio, wakapiga sana pesa na kupumzika mambo ya dhahabu, ashakua mnunuzi wa pamba kanda ya ziwa karibu yote, baada ya pesa kua nyingi ndio huyo toka zamani kajiwekeza kwenye Real Estate, nadhani pale bungeni hakuna anaemshinda majumba kama sijakosea, kila jiji anamajumba mengi, miji ya kibiashara yote utamkuta yupo,
 
Kwani Kuna aliye wah kuwa mbunge na Hana hela
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Juzi nimefuatwa na wazee fulani...wakanitania kuwa 2025 nichukue "fomu" nimpe changamoto kaka Silaa....nikawajibu....pesa sina ya mchakato....ningekuwa nazo....ningekabiliana na kamarada Jerry ndani ya chama [emoji1787][emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nilienda maeneo ya machimboni huko Kahama na Geita nilichokikuta ni kweli unaweza kumkuta mtu hajui kusoma wala kuandika ila miradi anayo miliki ni balaa wana pesa ndefu sana , alaf siyo watu wa kujisifu unaweza kumdharau ukaja kuambiwa ndo anamiliki mirad ambayo ni mikubwa ya kisasa iliyowekezwa pesa nyingi hutaamini

Juzi kuna mmoja kaleta uzi anasema mbunge msukuma kahongwa V8 ili akubaliane na DP world kuchukua bandari nikashangaa sana, msukuma mali anazomiliki V8 ni takataka kwake huwez kumshawishi kwa V8
Labda kama alihongwa kwa pesa nyingi zaidi hapo sawa
[emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Licha ya elimu yake ndogo ya Darasa la 7, Mzee Kishimba alianza biashara akiwa na miaka 14 baada ya kuacha shule na kukimbilia kuchimba madini ya Dhahabu katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kwa sasa amejijengea jina kubwa Bungeni kwa miongoni mwa Wabunge wanaotoa hoja za kipekee sana na michango yenye nguvu Bungeni.

Msikilize zaidi hapa. Credit #Dar24

Kamarada mbobevu mh.Jumanne Kishimba [emoji109][emoji106][emoji123][emoji7][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nilienda maeneo ya machimboni huko Kahama na Geita nilichokikuta ni kweli unaweza kumkuta mtu hajui kusoma wala kuandika ila miradi anayo miliki ni balaa wana pesa ndefu sana , alaf siyo watu wa kujisifu unaweza kumdharau ukaja kuambiwa ndo anamiliki mirad ambayo ni mikubwa ya kisasa iliyowekezwa pesa nyingi hutaamini

Juzi kuna mmoja kaleta uzi anasema mbunge msukuma kahongwa V8 ili akubaliane na DP world kuchukua bandari nikashangaa sana, msukuma mali anazomiliki V8 ni takataka kwake huwez kumshawishi kwa V8
Labda kama alihongwa kwa pesa nyingi zaidi hapo sawa
Pesa hazitoshi
 
Licha ya elimu yake ndogo ya Darasa la 7, Mzee Kishimba alianza biashara akiwa na miaka 14 baada ya kuacha shule na kukimbilia kuchimba madini ya Dhahabu katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kwa sasa amejijengea jina kubwa Bungeni kwa miongoni mwa Wabunge wanaotoa hoja za kipekee sana na michango yenye nguvu Bungeni.

Msikilize zaidi hapa. Credit #Dar24

Kusoma sio kumiliki mali kutosoma sio kigezo cha kuwa masikini
 
sijakataa kuhongwa ila kusema kahongwa V8 hiyo hapana aise , labda kama kahongwa pesa ndefu zaidi
Ni sawa na mtu anaemiliki milion 100 alafu useme unamuhonga tsh elf 40
huwezi mshawishi kwa kiwango hicho cha pesa
Kwa hiyo akihongwa V8 yenye thamani ya milioni 500 atakataa?? Kwanza huko kwenye siasa wanaingia, tena kwa kutumia pesa nyingi ili wapate favor na kukwepa kodi. Magufuli aliwahi kumzodoa Mbunge mmoja tajiri hapo Morogoro kwa kukwapua viwanda vya serikali na kushindwa kuviendeleza...
 
Hawa watu

🎵Kishimba

🎵 Kibajaji

🎵Musukuma

🎵Tabasamu

🎵 Babu tale

Wakiendelea kushangiliwa na mada zao za kuona elimu sii kitu au wasomi sio kitu kwa sababu ya mafanikio Yao ya kibiashara, tutatengeneza Taifa la hovyo. Mbaya zaidi wao ndio Kila siku wapo bungeni wanachangia hata zile mada za kitaalamu. Hawana watu wa kuwakosoa
 
Uzi ufungwe, umemaliza
Miaka hiyo huyo mzee anazitambua usd Dollar kwa kushika tuu bila kuangalia leo hii useme amepata hela kwa kuingia Bungeni sio kweli..pana watu wamepambana sana mkiambiwa mafanikio yao mwishoni mnazusha chochote fikiria mimi nimemjua Harare 4 evenue miaka hiyo namuona kuwa ni Tajiri na hana kelele unaweza kudhani mchimba chumvi tuu...
 
Licha ya elimu yake ndogo ya Darasa la 7, Mzee Kishimba alianza biashara akiwa na miaka 14 baada ya kuacha shule na kukimbilia kuchimba madini ya Dhahabu katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kwa sasa amejijengea jina kubwa Bungeni kwa miongoni mwa Wabunge wanaotoa hoja za kipekee sana na michango yenye nguvu Bungeni.

Msikilize zaidi hapa. Credit #Dar24

Wewe ulidhani ni mali za mamako! Pimbi wewe
 
Wabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Sasa mafanikio unayapima kwa kutumia nini kama sio vitu vinavyoonekana? Ulitaka aseme alifanya Biashara miaka mingi au
 
Wabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Ni kweli kabisa, huyo mzee wa kitambo sana na Imalaseko si ya leo. Miaka ya 80 alikuwa miongoni mwa waingizaji wakubwa wa bidhaa toka Kenya akitumia ile mitumbwi mikubwa sana (Makarua). Miaka hiyo Mwanza viwanda ni kama hamna. Iliwalipa sana na kodi walikwepa sana
 
Kwa hiyo akihongwa V8 yenye thamani ya milioni 500 atakataa?? Kwanza huko kwenye siasa wanaingia, tena kwa kutumia pesa nyingi ili wapate favor na kukwepa kodi. Magufuli aliwahi kumzodoa Mbunge mmoja tajiri hapo Morogoro kwa kukwapua viwanda vya serikali na kushindwa kuviendeleza...
Alikwapua yeye ndio alimuuzia akiwa ujenzi?
 
Back
Top Bottom