mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Umenikumbusha maziwa ya super milk toka zimbabweWabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Watu waliyauza sana bongo
Ova