Umenikumbusha maziwa ya super milk toka zimbabweWabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Kusoma waweza soma darasani au nje ya darasa yaani mitaaniLicha ya elimu yake ndogo ya Darasa la 7, Mzee Kishimba alianza biashara akiwa na miaka 14 baada ya kuacha shule na kukimbilia kuchimba madini ya Dhahabu katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kwa sasa amejijengea jina kubwa Bungeni
Uzi ufungwe, umemalizaWabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Msukuma anamiliki helicopter [emoji576]Nilienda maeneo ya machimboni huko Kahama na Geita nilichokikuta ni kweli unaweza kumkuta mtu hajui kusoma wala kuandika ila miradi anayo miliki ni balaa wana pesa ndefu sana , alaf siyo watu wa kujisifu unaweza kumdharau ukaja kuambiwa ndo anamiliki mirad ambayo ni mikubwa ya kisasa iliyowekezwa pesa nyingi hutaamini
Juzi kuna mmoja kaleta uzi anasema mbunge msukuma kahongwa V8 ili akubaliane na DP world kuchukua bandari nikashangaa sana, msukuma mali anazomiliki V8 ni takataka kwake huwez kumshawishi kwa V8
Labda kama alihongwa kwa pesa nyingi zaidi hapo sawa
ChaiKama ametosheka na hela asingejitesa na ubunge , ubunge ndo chain ya ukwasi alio nao , mtu mpigaji hata kama ana billion 400 mfukoni hawezi kuacha rushwa ya 10000... Labda kama Hz mambo hujawah kupitia
Palikua na jamaa wa mbeya na wengine wa dalsm na huyo mzee ndio walikua wanapakia hiyo mizigo viwandani...mimi hapo natafuta ramani Harare na Lusaka...Umenikumbusha maziwa ya super milk toka zimbabwe
Watu waliyauza sana bongo
Ova
hajui kuwa wengine tumebahatika kuishi naye . Uyo mzee ni ukoo wa chifu so jiongeze mwenyeweWabongo bhana huyo Mzee Kishimba si wengine ndio tunatafuta sehemu za kushika miaka ya 1998 huyo jamaa anaangiza Maziwa na Sukari kutoka Zimbabwe kiwango cha magari anayopakia hakihesabiki leo hii 2023 unamzungumzia kwenye Supermarket kweli? Unadhani ndio mafanikio yake huyo Mzee ni Tajiri na kichwa pia anacho...
Mkuu kuwa na hela hakumanishi huwezi hongwa na kupokea rushwa.Nilienda maeneo ya machimboni huko Kahama na Geita nilichokikuta ni kweli unaweza kumkuta mtu hajui kusoma wala kuandika ila miradi anayo miliki ni balaa wana pesa ndefu sana , alaf siyo watu wa kujisifu unaweza kumdharau ukaja kuambiwa ndo anamiliki mirad ambayo ni mikubwa ya kisasa iliyowekezwa pesa nyingi hutaamini
Juzi kuna mmoja kaleta uzi anasema mbunge msukuma kahongwa V8 ili akubaliane na DP world kuchukua bandari nikashangaa sana, msukuma mali anazomiliki V8 ni takataka kwake huwez kumshawishi kwa V8
Labda kama alihongwa kwa pesa nyingi zaidi hapo sawa
Nakazia....Mkuu kuwa na hela hakumanishi huwezi hongwa na kupokea rushwa.
Well said[emoji106]hajui kuwa wengine tumebahatika kuishi naye . Uyo mzee ni ukoo wa chifu so jiongeze mwenyewe
[emoji106]Palikua na jamaa wa mbeya na wengine wa dalsm na huyo mzee ndio walikua wanapakia hiyo mizigo viwandani...mimi hapo natafuta ramani Harare na Lusaka...
Hapo sasa....Msukuma anamiliki helicopter [emoji576]
Ndo ahongwe v8?
Mama mchungaji katika ubora wako [emoji106]Kusoma waweza soma darasani au nje ya darasa yaani mitaani
Kishimba ni msomi wa biashara alisomea mitaani.kwa vitendo
Bakhresa pia msomi wa biashara alisomea mitaani kwa vitendo darasani aliishia darasa la pili lakini mitaani ana PhD ya biashara
Unataka bungeni twende masikini tu ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]kwanini matajiri wanakimbilia bungeni??? kutumikia watu?
Hata WACHINA ni mabepari pia...japo taifa lao ni la KIKOMUNISTI....ujamaa unabaki kuendesha mambo nyeti ya nchi....[emoji1787]Siku hizi sera za ujamaa zimetupiliwa mbali, wabunge na makada wengi wa ccm ni mabepari na matajiri wakubwa
Mchango wako ni wa DHAHABU[emoji2956][emoji2956]kuna wafanyabiashara wengi wanapata hadha kutoa mizigo yao bandarini kutokana na urasimu pamoja na kutumia muda mrefu kusubiri mizigo kutolewa wanabariki bandari kupewa mwekezaji.
ila wafanyabiashara wachache wakwepa kodi wenye mafungamano na viongozi kwenye biashara zao nao waapinga kwa nguvu kubwa.