JE wajua ni Tanzania pekee Bunge hukutana kujadili matundu ya vyoo vya shule na zahanati? Duniani ni Tanzania pekee

JE wajua ni Tanzania pekee Bunge hukutana kujadili matundu ya vyoo vya shule na zahanati? Duniani ni Tanzania pekee

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.

Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.

Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani kwa sababu Raia ni Mazezeta wanapenda kusikia mada za matundu ya vyoo yakijadiliwa na Mbunge wao.

Fuatilia hata Bunge la Burundi huwezi kuta mijadala ya kijinga Bungeni, wale wanajadili Sera za nchi na sio vitu. Bunge la Tanzania mijadala ni ya vitu na sio Sera.

Sasa unadhania tutakuja wafikia levo za Kenya za kumuondoa Naibu wa Rais? kama vitu tu vinavyo jadiliwa Bungeni ni vya kijinga jinga tupu.

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Bunge zao ni mambo ya sera na huo ndio mfumo wa Mabunge mengi Duniani ukitoa Tanzania.
 
Hili Bunge lenu litawaua kwa presha maana sio kwa nyuzi hizi. Bora mgehamia Burudi tu
 
Wakati wa mjadala wa matundu ya vyoo; mbunge akipewa dakika 10 kuongea basi ujue:
Dk 9 atakuwa akimsifia rais Samia,
Sekunde 30 atamshukuru mungu, na sekunde 30 ataeleza jinsi anaunga mkono hoja.
 
Sasa hizo sera zitajadiliwa na akina nani mkuu?Watu wenye elimu njema tunaowategemea watuvushe kinyanja tofautitofauti wamekimbilia bungeni kufuata mafao na si mijadala ya sera.Na wale wenzangu na mimi ndiyo hivyo tena wanajadili mambo yasiyoendana na ukubwa wa bunge.Kamati ya serikali ya mtaa /kijiji inajadili ujenzi wa matundu ya choo shuleni.KAMAKA/Kamati ya Maendeleo ya kata inajadili ujenzi wa matundu ya choo.Wataalamu ngazi ya halmashauri wanajadili ujenzi wa matundu ya choo na kuingezea kidogo juu ya lishe ili viendane kimatumizi.Halafu,bunge nalo linajadili ujenzi wa matundu ya choo cha kijiji kupitia hoja/swali la mbunge wa jimbo fulani.Tutafika kweli?There's no specialisations at all!
 
Halaf ni wasomi kabisa ambao kwao wanaoga kwenye majakuzi na bila HAYA wala AIBU baada ya kumaliza vikao vyao vyao hiv vya kijinga kabisaaa hawapepesi macho kuchukua posho ,sitting allowance kisha wanapanda kwenye mashangingi yanayohudumiwa kwa pesa za wanyonge wenye watoto katika shule zisizo na vyoo .
 
Halaf ni wasomi kabisa ambao kwao wanaoga kwenye majakuzi na bila HAYA wala AIBU baada ya kumaliza vikao vyao vyao hiv vya kijinga kabisaaa hawapepesi macho kuchukua posho ,sitting allowance kisha wanapanda kwenye mashangingi yanayohudumiwa kwa pesa za wanyonge wenye watoto katika shule zisizo na vyoo .
Usisahau na rushwa wanazochukua
 
Wapeleke na hoja kuhusu hii bungeni,wajadili namna ya kuborosha vyoo huko olduvai

Ova
 

Attachments

  • 5855435-67d3baafb968acb20a6344bdb542d6f.mp4
    6.2 MB
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.

Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.

Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani kwa sababu Raia ni Mazezeta wanapenda kusikia mada za matundu ya vyoo yakijadiliwa na Mbunge wao.

Fuatikia hata Bunge la Burundi huwezi kuta mijadala ya kijinga Bungeni, wale wanajadili Sera za nchi na sio vitu. Bunge la Tanzania mijadala ni ya vitu na sio Sera.

Sasa unazania tutakuja wafikia levo za Kenya za kumuondoa Naibu wa Raisi? kama vitu tu vinavyo jadiliwa Bungeni ni vya kijinga jinga tupu.

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Bunge zao ni mambo ya sera na huo ndio mfumo wa Mabunge mengi Duniani ukitoa Tanzania.
Bunge la TZ linapoteza fedha tu halina kitu linalofanya cha maana kwa ajili ya Wa-TZ....Ni bora lisiwepo kabisa.
 
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.

Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.

Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani kwa sababu Raia ni Mazezeta wanapenda kusikia mada za matundu ya vyoo yakijadiliwa na Mbunge wao.

Fuatilia hata Bunge la Burundi huwezi kuta mijadala ya kijinga Bungeni, wale wanajadili Sera za nchi na sio vitu. Bunge la Tanzania mijadala ni ya vitu na sio Sera.

Sasa unadhania tutakuja wafikia levo za Kenya za kumuondoa Naibu wa Rais? kama vitu tu vinavyo jadiliwa Bungeni ni vya kijinga jinga tupu.

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Bunge zao ni mambo ya sera na huo ndio mfumo wa Mabunge mengi Duniani ukitoa Tanzania.
Ungeenda kuishi Kenya ingekuwa poa sana aisee. Hauwezi hata kuona madhara ya uhasama wa kikabila uliopo huko kwa majirani zetu wa kaskazini.

Hao wote uliowataja na wadogo sana kulinganisha na Tanzania kwa kila kitu, punguzeni mawazo ya chuki yaliyojaa kujikataa.
 
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.

Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.

Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani kwa sababu Raia ni Mazezeta wanapenda kusikia mada za matundu ya vyoo yakijadiliwa na Mbunge wao.

Fuatilia hata Bunge la Burundi huwezi kuta mijadala ya kijinga Bungeni, wale wanajadili Sera za nchi na sio vitu. Bunge la Tanzania mijadala ni ya vitu na sio Sera.

Sasa unadhania tutakuja wafikia levo za Kenya za kumuondoa Naibu wa Rais? kama vitu tu vinavyo jadiliwa Bungeni ni vya kijinga jinga tupu.

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Bunge zao ni mambo ya sera na huo ndio mfumo wa Mabunge mengi Duniani ukitoa Tanzania.
Yafaa kuongezwa kama ajabu la nane kama sii la tisa la dunia
 
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.

Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.

Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani kwa sababu Raia ni Mazezeta wanapenda kusikia mada za matundu ya vyoo yakijadiliwa na Mbunge wao.

Fuatilia hata Bunge la Burundi huwezi kuta mijadala ya kijinga Bungeni, wale wanajadili Sera za nchi na sio vitu. Bunge la Tanzania mijadala ni ya vitu na sio Sera.

Sasa unadhania tutakuja wafikia levo za Kenya za kumuondoa Naibu wa Rais? kama vitu tu vinavyo jadiliwa Bungeni ni vya kijinga jinga tupu.

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Bunge zao ni mambo ya sera na huo ndio mfumo wa Mabunge mengi Duniani ukitoa Tanzania.
Hii tabia ya kuwafanya majirani zetu ndio wa kujifunza kwao ni upuuzi mtupu, hawana cha maana cha kutufundisha hao, zipo nchi za kujifunza ila sio Kenya, Rwanda wala uganda
 
Hii tabia ya kuwafanya majirani zetu ndio wa kujifunza kwao ni upuuzi mtupu, hawana cha maana cha kutufundisha hao, zipo nchi za kujifunza ila sio Kenya, Rwanda wala uganda
Hivyo unataka yuendelee kujifunza wizi kwa majizi yetu sio?
 
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.

Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.

Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani kwa sababu Raia ni Mazezeta wanapenda kusikia mada za matundu ya vyoo yakijadiliwa na Mbunge wao.

Fuatilia hata Bunge la Burundi huwezi kuta mijadala ya kijinga Bungeni, wale wanajadili Sera za nchi na sio vitu. Bunge la Tanzania mijadala ni ya vitu na sio Sera.

Sasa unadhania tutakuja wafikia levo za Kenya za kumuondoa Naibu wa Rais? kama vitu tu vinavyo jadiliwa Bungeni ni vya kijinga jinga tupu.

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Bunge zao ni mambo ya sera na huo ndio mfumo wa Mabunge mengi Duniani ukitoa Tanzania.
Hata Kenya sijawahi sikia.
 
Back
Top Bottom