Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
LIGI YA MABINGWA HII kolo IMEFUATA NINI HUKU?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa utafiti wangu nimegundua kuwa ndio maana Simba ni underdog kwenye hii michuano kwasababu alipita Kwa kamseleleko Baada ya kubebwa na Yanga
1: MAMELODI SUNDOWNS- Bingwa South Africa
2: YANGA - Bingwa Tanzania
3: ASEC MIMOSAS- Bingwa Ivory Coast
4: AL AHLY- Bingwa Egypt
5: ESPERANCE TUNIS- Bingwa Tunisia
6: TP MAZEMBE - Bingwa Congo Dr
7😛ETRO DE LUANDA- Bingwa Angola
SIMBA- huyu hajulikani ndio maana kachezea kidude, huwezi kucheza na mashindano ya mabingwa wa nchi katika hatua kubwa kama hii na ukabaki salama
Kwa utafiti wangu nimegundua kuwa ndio maana Simba ni underdog kwenye hii michuano kwasababu alipita Kwa kamseleleko Baada ya kubebwa na Yanga
1: MAMELODI SUNDOWNS- Bingwa South Africa
2: YANGA - Bingwa Tanzania
3: ASEC MIMOSAS- Bingwa Ivory Coast
4: AL AHLY- Bingwa Egypt
5: ESPERANCE TUNIS- Bingwa Tunisia
6: TP MAZEMBE - Bingwa Congo Dr
7😛ETRO DE LUANDA- Bingwa Angola
SIMBA- huyu hajulikani ndio maana kachezea kidude, huwezi kucheza na mashindano ya mabingwa wa nchi katika hatua kubwa kama hii na ukabaki salama