Je wajua Sare ya 0-0 Kati ya Madrid na Psg , Madrid anaaga mashindano??

Je wajua Sare ya 0-0 Kati ya Madrid na Psg , Madrid anaaga mashindano??

Status
Not open for further replies.
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni

Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,

Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Inakera sana mtu hujui mpira then ajifanya kuuchambua
 
ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza..

sio kila kitu ni cha kupost labda kama umekosea heading hapo sawa..

au umeamua kufurahisha watu hapa jukwaani..

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] au ni Madrid na Psg za Tandale unaongelea.
 
Amka mkuu kumekucha muda mrefu Sana. MAANA NAKUONA UNAOTA LIVE!
 
Kuna watu wameifanya Jamiiforums imekuwa ya kishamba sana siku hizi.
 
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni

Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,

Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Acha kukurupuka wewe unaijua aggregate?
 
Wee jamaa mpira unaujua kweli? Kweli wewe ni mshabiki wa mieleka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom