General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Huyu atakuwa mtt wa JechaMkuu we bakia kwenye siasa Mpira tuachie tu wenyewe, Hakuna matokeo ya namna hyo unless NEC wahusike
Hahahawe jamaa umenifurahisha sana asee
Mkuu natania matokeo ya 2-0 na 3-0,4-1 , 5-2 , 5-3 ndo yanaweza kumtupa Madrid njeMkuuu kua serious basi .
Sifatilii mpira ila matokeo huwa nayafatilia
Tokea uanze kushabikia ccm umekua na akili mfu...Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni
Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,
Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee
Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,
Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,
Ndo hayo
ANASHINDALeo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni
Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,
Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee
Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,
Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,
Ndo hayo
Namshangaaaa au anaongelea netballAtaagaje wakati mechi ya kwanza Madrid alishinda 3- 1
Amejua kunishtua huyu...nilitaka nimuulize hivyo, takwimu zake amezitoa wapi?[emoji23][emoji28]Ataagaje wakati mechi ya kwanza Madrid alishinda 3- 1
HahahaAmejua kunishtua huyu...nilitaka nimuulize hivyo, takwimu zake amezitoa wapi?[emoji23][emoji28]
You are wrong!!!!! Madrid tayari ana agg ya 3-1 sasa iweje wakidroo atoke?? Labda kama wangetoka sare ya 1-1 au 2-2 au sare yoyote ile ya magoli Santiago hapo ungesema sare ya 0-0 Paris,Madrid angetoka kwakuwa Psg angekuwa na adv ya goli/magoli ya ugenini.Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni
Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,
Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee
Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,
Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,
Ndo hayo
Hakuna agg ya points bali magoliAggregate itakuwa ni points 4-1
ataagaje mashindano?
lile goli la ugenini halihesabiki kama hujashinda au kudroo kwa magoli
Umenisoma mpaka mwisho?You are wrong!!!!! Madrid tayari ana agg ya 3-1 sasa iweje wakidroo atoke?? Labda kama wangetoka sare ya 1-1 au 2-2 au sare yoyote ile ya magoli Santiago hapo ungesema sare ya 0-0 Paris,Madrid angetoka kwakuwa Psg angekuwa na adv ya goli/magoli ya ugenini.
Kwa sasa sare yoyote ile itawabeba Madrid na si PSG, kwasababu tayari Madrid alishinda gemu ya kwanza.
Muweke mama yako as stake mimi nikuwekee mke wanguANASHINDA
MADRID 2-0
HUAMINI WEKA MKEO STAKE NTAMRUDISHA
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni
Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,
Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee
Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,
Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,
Ndo hayo