Je wajua Sare ya 0-0 Kati ya Madrid na Psg , Madrid anaaga mashindano??

Je wajua Sare ya 0-0 Kati ya Madrid na Psg , Madrid anaaga mashindano??

Status
Not open for further replies.
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni

Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,

Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta


Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee

Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,

Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,

Ndo hayo
Tokea uanze kushabikia ccm umekua na akili mfu...
 
Si bure ulibeti jana man u wanafungwa ndo mana wengi wenu mmeamka na stress leo
 
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni

Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,

Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta


Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee

Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,

Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,

Ndo hayo
ANASHINDA

MADRID 2-0

HUAMINI WEKA MKEO STAKE NTAMRUDISHA
 
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni

Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,

Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta


Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee

Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,

Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,

Ndo hayo
You are wrong!!!!! Madrid tayari ana agg ya 3-1 sasa iweje wakidroo atoke?? Labda kama wangetoka sare ya 1-1 au 2-2 au sare yoyote ile ya magoli Santiago hapo ungesema sare ya 0-0 Paris,Madrid angetoka kwakuwa Psg angekuwa na adv ya goli/magoli ya ugenini.

Kwa sasa sare yoyote ile itawabeba Madrid na si PSG, kwasababu tayari Madrid alishinda gemu ya kwanza.
 
You are wrong!!!!! Madrid tayari ana agg ya 3-1 sasa iweje wakidroo atoke?? Labda kama wangetoka sare ya 1-1 au 2-2 au sare yoyote ile ya magoli Santiago hapo ungesema sare ya 0-0 Paris,Madrid angetoka kwakuwa Psg angekuwa na adv ya goli/magoli ya ugenini.

Kwa sasa sare yoyote ile itawabeba Madrid na si PSG, kwasababu tayari Madrid alishinda gemu ya kwanza.
Umenisoma mpaka mwisho?
 
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni

Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,

Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta


Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee

Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,

Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,

Ndo hayo


Mkuu hapo Nimekupata, kumbe ulijishitukia mwenyewe mwishoni
 
Kesharudi kuedit baada ya mmea kupungua nguvu kichwani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom