britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Leo inaweza kuwa siku ya mwisho ya matumaini ya Zidane ndani ya Madrid
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni
Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,
Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee
Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,
Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,
Ndo hayo
Siyo Zidane Tu Bali Ronaldo ataangalia mstakabari wa maisha yake uko kwingineko ama marekani au kukipiga uarabuni
Leo Psg watakuwa na uoga wa kuwakabili Madrid watacheza Kwa ujanja mwingi uku Madrid wakifunguka kutafta magori maana wakimakiza Sare ya bila kufungana Madrid anaondoka, au wakimaliza moja moja ni matuta , yaan Madrid ni lazima ashinde, Kwa Hari na mali, akikubali Sare ya Moja Kwa moja anaingia matuta, na Madrid matuta so wazuri sana,
Au wakimaliza 0-0 PSG anapeta
Hahaha hahaha watu wametoa povuuu aisee
Natania nilitaka kujua wangapi wanafura ,Ila madrid akipigwa 2-0 anaondoka,
Barcelona akitokea 0-0 na chelsea , Barca anapeta,
Ndo hayo