Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kuna wakati Sevilla lilikuwa ndio kama kombe lake, licha ya kuwa ilikuwa haiingii Europa kutokea Champions LeagueSawa hizo timu pamoja zina shiriki mara chache hua chukua kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati Sevilla lilikuwa ndio kama kombe lake, licha ya kuwa ilikuwa haiingii Europa kutokea Champions LeagueSawa hizo timu pamoja zina shiriki mara chache hua chukua kombe
Akikujibu ntagSawa hizo timu pamoja zina shiriki mara chache hua chukua kombe
Katika hizo attempt sita Simba katelemshwa mara ngapi kutoka champions League kwenda federation cup?Ndio yawezekana, lakini hadi uteremshwe Europa maana yake uliondolewa Champions League mapema kabisa, maana wale wanaoondolewa baadaye huwa wanasubiri nje hadi msimu ujao. Na kuondolewa mapema Champions League huwa sio sifa nzuri
Mkuu uko ukubwani CL una kombe lolote!?Kuna wakati Sevilla lilikuwa ndio kama kombe lake, licha ya kuwa ilikuwa haiingii Europa kutokea Champions League
Akikujibu pia ntagKatika hizo attempt sita Simba katelemshwa mara ngapi kutoka champions League kwenda federation cup?
Who cares
Jibu lako ni illeve rantKuna wakati Sevilla lilikuwa ndio kama kombe lake, licha ya kuwa ilikuwa haiingii Europa kutokea Champions League
Mkuu endelea kupiga spanaJibu lako ni illeve rant
Point yangu ni kwamba Simba huwa mara nyingi sio timu ya kucheza kombe la shirikisho. Hata ukiangalia hilo jedwali aliloleta jamaa, utaona Simba imepigana zaidi kwenye Klabu Bingwa kuliko shirikisho, maana huko huwa inaenda kwa bahati mbaya tu, sio nyumbani kwake kama SevillaKatika hizo attempt sita Simba katelemshwa mara ngapi kutoka champions League kwenda federation cup?
Ni kweli ila hata timu kubwa huwa zinaondolewa uefa na kwenda Europa, tumeona mara kibao, ila tofauti ya timu kubwa na ndogo ni kwamba mkubwa akipelekwa Europa huwa mara nyingi anaingia fainali ila mdogo anatoka mapema, ndio kama Simba na Yanga tu, Yanga amefanya vizuri kwasababu ni mkubwa kuliko timu alizopangiwa.Ndio yawezekana, lakini hadi uteremshwe Europa maana yake uliondolewa Champions League mapema kabisa, maana wale wanaoondolewa baadaye huwa wanasubiri nje hadi msimu ujao. Na kuondolewa mapema Champions League huwa sio sifa nzuri
Sawa, ila jitahidi kuandika vizuri hata kama sio lugha yetu ya kukua nayoJibu lako ni illeve rant
Robo fainali Yanga ndiyo timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika robo CL, super league ni upumbavu haupaswi kuongelewa humu.Aahaaaa
Bado Wana Chaka la Super League na Robo Fainali CL
Iko kichaka Cha Robo Fainali tujipange msimu wa 2023/2024 tukifyeke
AaahhaaaaRobo fainali Yanga ndiyo timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika robo CL, super league ni upumbavu haupaswi kuongelewa humu.
Umewahi kuiona hiyo super league?Aaahhaaaa
Kwanini ni upumbavu!?
BadoUmewahi kuiona hiyo super league?
Sasa nyie kila kitu hakiweziPoint yangu ni kwamba Simba huwa mara nyingi sio timu ya kucheza kombe la shirikisho. Hata ukiangalia hilo jedwali aliloleta jamaa, utaona Simba imepigana zaidi kwenye Klabu Bingwa kuliko shirikisho, maana huko huwa inaenda kwa bahati mbaya tu, sio nyumbani kwake kama Sevilla
ni kama nyie mnavyofeli kila mwaka kwenye Klabu Bingwa 😁Sasa nyie kila kitu hakiwezi
Eti wakubwa wenzaoSasa nyie kila kitu hakiwezi
kwa wakubwa wenzenu [emoji777]
huku kwa loser [emoji777]
Azam federation [emoji777],
mapinduzi [emoji777]
Ngao ya jamii [emoji777]
mkaenda kucheza kombe la mtu na shoga yake kule Sudan [emoji777]
Mnajishugulisha na nini hapa duniani?
Kama robo fainali ni kufaulu kwa timu ianyo jiita kubwa basi Rage anacheleweshewa PhD yakeni kama nyie mnavyofeli kila mwaka kwenye Klabu Bingwa [emoji16]