Je wajua? Simba imecheza CAF Confederation Cup mara 6 wakaambulia Robo Fainali moja!

Je wajua? Simba imecheza CAF Confederation Cup mara 6 wakaambulia Robo Fainali moja!

Ndio nilitaka niseme mbn 98 siioni sema nikakausha tu mana najua kinachowafanya wakose raha ni wivu tu.
Kuna swali nilishauliza uwa awanipi majibu labda kwasababu ni Utopolo lakini kama ingekuwa ni Makolo wangeshajibu.

Nauliza tena kwenye haya mashindano ya CAF timu 2 zinazoingia fainali ya haya mashindano zinakuwa zimetokea stage gani?
 
Kwani alifanya nini cha maana?
Aliingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ambapo walicheza kwenye makundi mawili sababu washindi wa kwanza kwa kila kundi ambao ni Asec Memosas na Dynamos Harare wakaingia fainali na Asec Memosas akabeba kombe.

Wajinga watakuja kubisha kwamba Utopolo hawakucheza nusu fainali ya Kombe la Shirikisho mwaka 1998
 
Sio Simba tu, timu zote kubwa huwa ni mara chache sana kuonekana zikicheza Kombe la Shirikisho, na hii ni kote Afrika hata Ulaya (Europa Cup). Angalia Madrid, Barcelona, Manchester United, Liverpool, Juventus, AC Milan, Inter Milan, Marseilles, PSG, Bayern Munich na vigogo vingine, kisha tafuta idadi ambayo wameshiriki shirikisho. Timu kubwa ni kwa ajili ya Klabu Bingwa, ukiona inacheza shirikisho ujue either ni ndogo au kubwa iliyotolewa Klabu Bingwa mapema
Kwani ni dhambi?
 
Aliingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ambapo walicheza kwenye makundi mawili sababu washindi wa kwanza kwa kila kundi ambao ni Asec Memosas na Dynamos Harare wakaingia fainali na Asec Memosas akabeba kombe.

Wajinga watakuja kubisha kwamba Utopolo hawakucheza nusu fainali ya Kombe la Shirikisho mwaka 1998
Kwanza umesema klabu bingwa halafu umekuja kusema shirikisho. Nyie sasa ndiyo mnaleta rekodi za kuungaunga.
 
Kumbe wanalibeza buuuree, jionee mwenyewe!

View attachment 2627024
Source: Wikipedia
.
FB_IMG_1683024959845.jpg
 
Ila hizo kubwa ulizotaja za huko ulaya mara nyingi zikipelekwa Europa huwa zinafika fainali au zinabeba kabisa, nasema uongo ndugu zangu?
Tumia facts za mpira, weka rekodi za vigogo wa ulaya wangapi wamechukua Europa, umeshawahi jiuliza ni Kwan hata we mwenyewe hapo tu huifuatilii Europa Kwa kiasi hicho lakin UCL unaifuatilia Kila wakati?
 
Mwaka huu hawana pa kutokea, machaka yote tunafyeka dadadekii.
Umefyeka vichaka vyote, Hilo nakubali

1. Zalan
2. Mazembe
3. Monastriene
4. Bamako
5. Africain
6. Rivers
7. Marumo

Status za hao wote kwa msimu huu zinafahamika

Vipi kuhusu Chaka la Al hilal, ulifyeka?
 
Point yangu ni kwamba Simba huwa mara nyingi sio timu ya kucheza kombe la shirikisho. Hata ukiangalia hilo jedwali aliloleta jamaa, utaona Simba imepigana zaidi kwenye Klabu Bingwa kuliko shirikisho, maana huko huwa inaenda kwa bahati mbaya tu, sio nyumbani kwake kama Sevilla
Imepigana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]ni imepigwa mkuu na mara ya mwisho ilipigwa na Jwanengy Galaxy
 
Back
Top Bottom