Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Kuna swali nilishauliza uwa awanipi majibu labda kwasababu ni Utopolo lakini kama ingekuwa ni Makolo wangeshajibu.Ndio nilitaka niseme mbn 98 siioni sema nikakausha tu mana najua kinachowafanya wakose raha ni wivu tu.
Nauliza tena kwenye haya mashindano ya CAF timu 2 zinazoingia fainali ya haya mashindano zinakuwa zimetokea stage gani?