Kuna swali nilishauliza uwa awanipi majibu labda kwasababu ni Utopolo lakini kama ingekuwa ni Makolo wangeshajibu.Ndio nilitaka niseme mbn 98 siioni sema nikakausha tu mana najua kinachowafanya wakose raha ni wivu tu.
Ni lile ambalo Yanga alishiriki zaidi ya mara 2 na mara zote akatimuliwa raundi ya kwanza wakati Simba kunusa tu fainali hii. Famasihara nini.Hilo kombe la CAF ndo lipi Hilo!?
La Abiola!?Ni lile ambalo Yanga alishiriki zaidi ya mara 2 na mara zote akatimuliwa raundi ya kwanza wakati Simba kunusa tu fainali hii. Famasihara nini.
Kwani alifanya nini cha maana?Kwa Yanga 1998 mbona haipo?
Aliingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ambapo walicheza kwenye makundi mawili sababu washindi wa kwanza kwa kila kundi ambao ni Asec Memosas na Dynamos Harare wakaingia fainali na Asec Memosas akabeba kombe.Kwani alifanya nini cha maana?
Kwani ni dhambi?Sio Simba tu, timu zote kubwa huwa ni mara chache sana kuonekana zikicheza Kombe la Shirikisho, na hii ni kote Afrika hata Ulaya (Europa Cup). Angalia Madrid, Barcelona, Manchester United, Liverpool, Juventus, AC Milan, Inter Milan, Marseilles, PSG, Bayern Munich na vigogo vingine, kisha tafuta idadi ambayo wameshiriki shirikisho. Timu kubwa ni kwa ajili ya Klabu Bingwa, ukiona inacheza shirikisho ujue either ni ndogo au kubwa iliyotolewa Klabu Bingwa mapema
Sio dhambi, ila ili kujiwekea heshima ya ukubwa, ni vyema timu isiwe mara kwa mara inatolewa mapema katika Klabu BingwaKwani ni dhambi?
.Ni kombe la Mashood Abiola kama tulivyobeba makombe mengine ya Hedex. Nani Mtani Jembe nk.
Kwanza umesema klabu bingwa halafu umekuja kusema shirikisho. Nyie sasa ndiyo mnaleta rekodi za kuungaunga.Aliingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ambapo walicheza kwenye makundi mawili sababu washindi wa kwanza kwa kila kundi ambao ni Asec Memosas na Dynamos Harare wakaingia fainali na Asec Memosas akabeba kombe.
Wajinga watakuja kubisha kwamba Utopolo hawakucheza nusu fainali ya Kombe la Shirikisho mwaka 1998
SeMBe day.Ni kombe la Mashood Abiola kama tulivyobeba makombe mengine ya Hedex. Nani Mtani Jembe nk.
.
Weka na recodi za champions league
Sisi binadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.
Tumia facts za mpira, weka rekodi za vigogo wa ulaya wangapi wamechukua Europa, umeshawahi jiuliza ni Kwan hata we mwenyewe hapo tu huifuatilii Europa Kwa kiasi hicho lakin UCL unaifuatilia Kila wakati?Ila hizo kubwa ulizotaja za huko ulaya mara nyingi zikipelekwa Europa huwa zinafika fainali au zinabeba kabisa, nasema uongo ndugu zangu?
Umefyeka vichaka vyote, Hilo nakubaliMwaka huu hawana pa kutokea, machaka yote tunafyeka dadadekii.
Imepigana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]ni imepigwa mkuu na mara ya mwisho ilipigwa na Jwanengy GalaxyPoint yangu ni kwamba Simba huwa mara nyingi sio timu ya kucheza kombe la shirikisho. Hata ukiangalia hilo jedwali aliloleta jamaa, utaona Simba imepigana zaidi kwenye Klabu Bingwa kuliko shirikisho, maana huko huwa inaenda kwa bahati mbaya tu, sio nyumbani kwake kama Sevilla