Je, wajua Simba ni timu iliyofungwa zaidi na Yanga hapa duniani?

Simba 6-0 yanga. Kipigo kibaya zaidi kuwahi kutokea. Funga weee, siku tunakudhallisha usilie.
 
Haya waambie utopolo wenzio kuwa kwenye hizo mara chache walizoshinda Simba wamemkwatua uto 6-0, 5-0 na 4-1
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wana hasira hawaja alikwa CAF Arusha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakubwa huwa hatuendi kwny vitu vdg vdg hivyo.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwisha habari yakoooo
Green ( yanga )....stands for vitamins

Red ( kolo) stands for vibwengo, vigagula[emoji23][emoji23]
 
Simba 6-0 yanga. Kipigo kibaya zaidi kuwahi kutokea. Funga weee, siku tunakudhallisha usilie.
Mkuu.......hii ilikuwa ni kipndi ambacho tulikuwa vibaya Sana kiuchumi....
 
Upuuuzi mtupu yani hivyo vigoli ndo unatamba nyie kweli timu ya chama maana kwao kushinda hata kwa bao la mkono ni sawa.
Bila shaka ww Ni mwananchii.....na hapa unawesema KOLOs

Anyway mkuu.....vp utabiri wako kesho???
 
Haya waambie utopolo wenzio kuwa kwenye hizo mara chache walizoshinda Simba wamemkwatua uto 6-0, 5-0 na 4-1
Lkn ilikuwa zamani Sana.....kabla hujazaliwa....so inawezekana Ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…