Je, wajua? - Special Thread


wengine ni TWIGA, NYANI na MBWA MWITU.
 
Hapo kwenye nyati..... Nina mashaka...

Kama unafuatilia wildlife in Taanzania and Africa at large, nyati is the most dengerous animal in Africa, simba wanauwawa na nyati kwa kiasi kikubwa kuliko mnyama yoyote, bora ukutane na simba kuliko nyati.
 
mkuu unasema kweli? Au
Hiyo simba 10 inaweza ngumu ila head to head, wild dog vs lion, lion lazima afe. Sababu
1. Mbwa mwitu wanamla simba ila simba hamli mbwa mwitu, unapata logic?

2.Katika uwindaji, mbwi mwitu hana papara na yupo more accurate mara 4 ya simba. Watalaam wanasema mbwa mwitu hufanikiwa target tatu katinya nne
 

nimekupata mkuu
 
Nadhani ni asili ya uumbaji. Kama ilivyo mbwa kwa fisi na panya kwa paka. Mbwa pamoja na mbio zake akimwona fisi nguvu zinaisha kabisa. Panya pia hata awe juu akimwona paka anaweza kudondoka mwenyewe


mbwa mwitu mpaka wawe kundi kama 10 ivi....otherwise hawafurukuti..
 
Kabla Hujachangia Uzi Huu inabidi uwe vizur kwenye tabia za wanyama, wengi mnadanganya ingawa watanzania ndio wenye uwanja mpana wa kujua wildlife kwan ndo nchi ya pili yenye vivutio vingi vya kitalii duniani ikitanguliwa na brazil, ikiwemo hifadhi ya SERENGETI Ambayo wazungu wanaita "urithi wa dunia" mtoa mada si mzalendo kwa kutojua haya. Sifa za wanyama ulizozitoa katka thread yako zinaonesha ni jinsi gani elimu ya viumbe hai na maliasili ya nchi yalivyokupita mbali. Hufai kuishi Tanzania.
 

toa mchango wako mkuu
 
Yanga hata wengi kiasi gani wanauwawa wote na simba moja tu.
 
toa mchango wako mkuu

Mtoa Mada Amedanganya umma, buffalo/nyati ni the most dengerous animal in Africa, Simba ni sisimizi kwake. Pia Chui si tishio kwa simba, yupo group moja na simba (group of cat) na simba ndiye the big cat in Africa (ukimwondoa tiger ambaye hapatkani Africa), chui hata wakiwa 20 na simba mmoja, atawauwa wote ingawa ki uhalisia huwa hawakutani katka mawindo kwan chui hutumia muda wa usiku katka mawindo na simba hupendelea kuwinda mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…