Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Katika kujihami na kifo wanyama hua wanafight sana japo twiga anaonekana mzembe niliona video moja simba alichukua teke moja tu chali,
 
Kwenye chui hapo Umechemka.......maana kuna vidio kibao You tube.......za chui akitolewa mkuku na simba na kunyang'anywa windo lake.............!
 
ha ha ha wanaoona kwenye movie wanabishana na wataalamu. hii ndo bongo. watu wanajifanya wajuaji kumbe weupe. ishu kama huna uhakika nayo ni vizuri ukaacha wenye utaalamu waelezee. Kusikiliza na kusoma unaweza kujifunza mengi zaidi. Sasa we mtu unashindia magazeti ya Shigongo kutwa nzima halafu kila kitu unakijua si wehu huo
 
Kwanza utambue simba ndiye Mkuu wa pori na hakuna anayesimama mbele yake. Na wakiwa na njaa simba ni balaa. Mara chache tembo au nyati dume mkubwa anaweza kupigana hasa simba akiwa mmoja. Mbwa mwitu hutembea kundi na mara nyingi simba anaogopa kupigana nao na pia siyo kitoweo chake bora
 
Kwa chui hapo hakuna mkuu chui hata waww wawili simba mmoja hawamuezi
 
tunajua simba ni mfalme wa nyika lakini inasemekana hana ujanja kwa wanyama wafuatao yaani hana ubavu wa kupambana nao akiwa peke yake yaan fight ya one to one, wanyama hao ni TEMBO,KIFARU,KIBOKO,CHUI NA NYATI. ila kama anayefahamu zaidi kuhusu hii issue karibu atujuze hapa
Chui anazinguliwa sana tu hata kama ana watoto anawaacha anaenda kukaa mbali...
 
Mbona mmewasahau hawa Wanyama wawili ambao Simba asinusa harufu yao anaanguka ghafla?. Mgambo JKT ya Tanga na Stand Utd ya Shinyanga.
 
Point no 1 sio kweli, hakuna logic hapo umehisi tu, mbwa mwitu hawezi kabisa kipigana na simba na ikitolea wote wawe full grown mbwa ni ndani ya dakia atakua amekwisha habari yake mbwa anachoweza mzidi simba ni kukimbia bila ya kuchoka..si kweli simba ali mbwa ,simba ni carnivore anakula kila aina ya nyama.

Point 2.anachokiwinda mbwa sio anachokiwinda simba mbwa anawinda wanuama wadogo na simna anawinda wanyama wakubwa zaid, simba anategemea zaid ambush, mbwa mwitu anategemea uwezo wake wakukimbia bila ya kuchoka ndio sababu anashinda zaid target zake

Mkuu, pitia vizuri ilikoipata hii elimu ya wanyama. Simba (siyo ile ya Msimbazi) anaweza kuwaua (siyo kuwawinda) Fisi, cheetah na wild dogs ila huwa hawali. Simba huwa anawaua wanyama hawa ili kupunguza upinzani tu kwa kuwa wote wana compete aina moja ya chakula (wanyama wengine). Simba hawezi kumla fisi, nevaaa!
 
Mara nyingi huwa naamini wanataaluma wa utalii huwa wanatakiwa kuwa waelewa zaidi.
Kwa mfano unapoita mtoa mada kuwa ni muongo unamaanisha pia ni jinsi gani hujaelewa mada yake vizuri.
Mtoa mada alimalizia mada yake vizuri kwa kusema " "
 
hakuna mnyama anayeweza kupambana na BINADAMU

Hasa binadamu akisaidiwa na siraha kama bunduki mshale nk. Otherwise akiwa mikono tupu binadam mweupe sana akiwa hana siraha anategemea zaidi mbio halafu mbio zenyewe hana kumzidi mnyama
 
Tembo pamoja wanyama uliowataja wakikutana n simba mwenye njaa hachomoki, unachokitazama ww ni ukubwa wa maumbo ya wanyama na sii uwezo walionao.
 
Mara nyingi huwa naamini wanataaluma wa utalii huwa wanatakiwa kuwa waelewa zaidi.
Kwa mfano unapoita mtoa mada kuwa ni muongo unamaanisha pia ni jinsi gani hujaelewa mada yake vizuri.
Mtoa mada alimalizia mada yake vizuri kwa kusema " ila kama anaefahamu zaidi kuhusu hii issue karibu atujuze hapa "
Kwa hivyo mtoa mada hakuja na mada ya uwongo la hasha,ila kama kunamchangiaji anaefahamu alitakiwa kusema tu kama hayo ambayo mleta mada kayawakilisha ni sahihi au siyo sahihi.
Ukitazama ni kweli simba wanamwinda nyati na kumuua,lakini wanamwindaje,wanahitaji nini kumwinda,unafikiri nyati anawindwa kama anavyowindwa swala ? ,hilo sahau kabisa.
Ni vyema tuwe tunazielewa mada vyema na kuzichangia,mada ni nzuri lakini jambo la kumwita mwenzako mwongo wakati anahitaji kupata msaada wako wa kielimu siyo jambo zuri hata kidogo.
 
  • Thanks
Reactions: me1
Mkuu, pitia vizuri ilikoipata hii elimu ya wanyama. Simba (siyo ile ya Msimbazi) anaweza kuwaua (siyo kuwawinda) Fisi, cheetah na wild dogs ila huwa hawali. Simba huwa anawaua wanyama hawa ili kupunguza upinzani tu kwa kuwa wote wana compete aina moja ya chakula (wanyama wengine). Simba hawezi kumla fisi, nevaaa!

Mkuu siwezi endelea bishana na ww, taarifa fupi nikupe wildlife nikazi inayonipatia mkate wangu wa siku kwa siku, sisomi kwenye vitabu wala siangali docomentary kwenye tv, nimefanya kazi kwenye mradi wa simba in selous kwa miaka 2 na nina uzoefu wa kufanya kazi ya wildlife for 15 years now...kwa zaidi ya miaka15 naishi nikitegemea wildlife, ungeuliza swali ningeweza kukujibu lakin kwa stail ya kubishana siwezi samahani sana
 
Ila fisi komesha, hakuna mzoga ambao hali yani hadi kivuli chake ye anabwenga tu.
 
Back
Top Bottom