Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Hiyo simba 10 inaweza ngumu ila head to head, wild dog vs lion, lion lazima afe. Sababu
1. Mbwa mwitu wanamla simba ila simba hamli mbwa mwitu, unapata logic?

2.Katika uwindaji, mbwi mwitu hana papara na yupo more accurate mara 4 ya simba. Watalaam wanasema mbwa mwitu hufanikiwa target tatu katinya nne
Nimependa sana uchambuzi wako mkuu.
 
Hiyo simba 10 inaweza ngumu ila head to head, wild dog vs lion, lion lazima afe. Sababu
1. Mbwa mwitu wanamla simba ila simba hamli mbwa mwitu, unapata logic?

2.Katika uwindaji, mbwi mwitu hana papara na yupo more accurate mara 4 ya simba. Watalaam wanasema mbwa mwitu hufanikiwa target tatu katinya nne

Point no 1 sio kweli, hakuna logic hapo umehisi tu, mbwa mwitu hawezi kabisa kipigana na simba na ikitolea wote wawe full grown mbwa ni ndani ya dakia atakua amekwisha habari yake mbwa anachoweza mzidi simba ni kukimbia bila ya kuchoka..si kweli simba ali mbwa ,simba ni carnivore anakula kila aina ya nyama.

Point 2.anachokiwinda mbwa sio anachokiwinda simba mbwa anawinda wanuama wadogo na simna anawinda wanyama wakubwa zaid, simba anategemea zaid ambush, mbwa mwitu anategemea uwezo wake wakukimbia bila ya kuchoka ndio sababu anashinda zaid target zake
 
mtoa mada nahisi kajiandikia kwa kuangalia ukubwa wa wanyama,nyati kila siku analiwa ,labda huna muda wa kuangalia wanyama.

binadamu nasikia machi kwa macho simba anarudi nyuma.

Kiukweli simba mmoja hawezi kumshusha NYATI. May be wawe angalau simba waatu hadi wanne
 
Mtoa Mada Amedanganya umma, buffalo/nyati ni the most dengerous animal in Africa, Simba ni sisimizi kwake. Pia Chui si tishio kwa simba, yupo group moja na simba (group of cat) na simba ndiye the big cat in Africa (ukimwondoa tiger ambaye hapatkani Africa), chui hata wakiwa 20 na simba mmoja, atawauwa wote ingawa ki uhalisia huwa hawakutani katka mawindo kwan chui hutumia muda wa usiku katka mawindo na simba hupendelea kuwinda mchana.

Wewe pia muongo umeongea kwa hisia.
Kwanza simba mmoja hawezi shindana na chui 20, haiwezi tokea kwakua chui wanaishi mmoja mmoja ukiona wapo wawili au zaid ni mama na watoto, au dume na jike kwa dhumuni la kupandana tu, na kama itatokea simaba hatoweza simama hata ndani ya dakika moja, ulivyoambiwa most dangerous animal in Africa haina maana aliwi au auliwi na simba, kwa taarifa yako buffalo ndio chagua no1 la pride za simba
 
Kabla Hujachangia Uzi Huu inabidi uwe vizur kwenye tabia za wanyama, wengi mnadanganya ingawa watanzania ndio wenye uwanja mpana wa kujua wildlife kwan ndo nchi ya pili yenye vivutio vingi vya kitalii duniani ikitanguliwa na brazil, ikiwemo hifadhi ya SERENGETI Ambayo wazungu wanaita "urithi wa dunia" mtoa mada si mzalendo kwa kutojua haya. Sifa za wanyama ulizozitoa katka thread yako zinaonesha ni jinsi gani elimu ya viumbe hai na maliasili ya nchi yalivyokupita mbali. Hufai kuishi Tanzania.

Umenena mkuu. Naona watu wanachangua kwa story za vijiweni tu, na kwa taarifa yako wazungu ndio wanaojua zaidi kuhusu tabia za wanyama kuliko sisi wenyewe hata serikali inawatumia zaidi wao kiushauri wa uhifidhi kwakua bongo hatuna, mfano ni ushawish wa frankfurt zoological society na GTZ kwenye masuala ya uhifadhi tanzania na africa kwa ujumla
 
Wewe pia muongo umeongea kwa hisia.
Kwanza simba mmoja hawezi shindana na chui 20, haiwezi tokea kwakua chui wanaishi mmoja mmoja ukiona wapo wawili au zaid ni mama na watoto, au dume na jike kwa dhumuni la kupandana tu, na kama itatokea simaba hatoweza simama hata ndani ya dakika moja, ulivyoambiwa most dangerous animal in Africa haina maana aliwi au auliwi na simba, kwa taarifa yako buffalo ndio chagua no1 la pride za simba

Hahahaaa.. mimi naangalia animal planet na net geo wild kila siku. Hakuna kinachomshinda simba. ila kuna tofauti ya mfano simba wa selou na ngorongoro jinsi wanavowinda. Simba wakiwa kundi wanawinda kila mnyama.
 
Hahahaaa.. mimi naangalia animal planet na net geo wild kila siku. Hakuna kinachomshinda simba. ila kuna tofauti ya mfano simba wa selou na ngorongoro jinsi wanavowinda. Simba wakiwa kundi wanawinda kila mnyama.

Sijaelewa point yako kiongozi...kwa bahati wildlife ndio kazi inayonipa mkate wa siku kwa siku. Mm nimekukatalia kua simba mmoja anaweza pambana na chui 20 hiyo haipo popote hawezi hata kidogo. Hiyo ni sawa na cheka kupambana na akia kaseba kama sijakosea jina 20 kwa wakati mmoja
 
Sijaelewa point yako kiongozi...kwa bahati wildlife ndio kazi inayonipa mkate wa siku kwa siku. Mm nimekukatalia kua simba mmoja anaweza pambana na chui 20 hiyo haipo popote hawezi hata kidogo. Hiyo ni sawa na cheka kupambana na akia kaseba kama sijakosea jina 20 kwa wakati mmoja

Chui 20 utawapata wapi kama kundi? Nasema kundi la simba watawinda yeyote. Sifanyi huko kwako mkuu. Ila ninaona "dokumentari" za wanyama sana
 
Chui 20 utawapata wapi kama kundi? Nasema kundi la simba watawinda yeyote. Sifanyi huko kwako mkuu. Ila ninaona "dokumentari" za wanyama sana

Ok Rejea coment yangu ya awali nimeipest...

Wewe pia muongo umeongea kwa hisia.
Kwanza simba mmoja hawezi shindana na chui 20, haiwezi tokea kwakua chui wanaishi mmoja mmoja ukiona wapo wawili au zaid ni mama na watoto, au dume na jike kwa dhumuni la kupandana tu, na kama itatokea simaba hatoweza simama hata ndani ya dakika moja, ulivyoambiwa most dangerous animal in Africa haina maana aliwi au auliwi na simba, kwa taarifa yako buffalo ndio chagua no1 la pride za simba
 
Hapo kwenye nyati..... Nina mashaka...

Hta mi nina Mashaka maana nawaonaga kila siku hao nyati wakikimbizwa na simba na kisha kuliwa yaani hata ubavu wa kupambana na simba hawana,hii huwa inaoneshwa sn kene animal documentaries
 
Ok Rejea coment yangu ya awali nimeipest...

Wewe pia muongo umeongea kwa hisia.
Kwanza simba mmoja hawezi shindana na chui 20, haiwezi tokea kwakua chui wanaishi mmoja mmoja ukiona wapo wawili au zaid ni mama na watoto, au dume na jike kwa dhumuni la kupandana tu, na kama itatokea simaba hatoweza simama hata ndani ya dakika moja, ulivyoambiwa most dangerous animal in Africa haina maana aliwi au auliwi na simba, kwa taarifa yako buffalo ndio chagua no1 la pride za simba

Mbona tuko sawa tu. Alieongea kwa hisia sio mm.
 
Hta mi nina Mashaka maana nawaonaga kila siku hao nyati wakikimbizwa na simba na kisha kuliwa yaani hata ubavu wa kupambana na simba hawana,hii huwa inaoneshwa sn kene animal documentaries

mashaka92 na hyusuph are u sure? Iwapo mna data,just take a few minutes to watch this alafu nangojea feedback.


https://www.youtube.com/watch?v=EpnERlsfBFc&feature=youtube_gdata_player
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom