Marijuana was declared illegal in US in 1930s baada ya mzungu mmoja kudai kwamba wanawake wa kizungu wakitumia marijuana wanawashobokea/kuwapenda wanaume weusi(manigga).
je wajua kuwa asilimia 90% ya chembe hai katika mwili wa mwanadamu ni bacteria? na asilimia 99% ya genes katika mwili wa mwanadamu ni za bacteria. Genetically we are 99% bacteria!
Je wajua yule muigizaji maarufu wa filamu wa kuitwa Samuel L Jackson maishani mwake mpaka ilipofikia kuondokewa na Baba yake mzazi alibahatika kuonana nae mara mbili tu