Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Je wajua.

Marijuana was declared illegal in US in 1930s baada ya mzungu mmoja kudai kwamba wanawake wa kizungu wakitumia marijuana wanawashobokea/kuwapenda wanaume weusi(manigga).

#SayNo2Racism .
 
Je wajua?

Ndoto hata iwe mdefu kiasi gani haiwezi kuzidi dakika moja huwa ni wastani wa 38seconds.
 
  • Thanks
Reactions: me1
Je wajua Clouds TV ndiyo TV inayotizamwa zaidi tanzania nzima kuliko tv yoyote?
 
je wajua kuwa asilimia 90% ya chembe hai katika mwili wa mwanadamu ni bacteria? na asilimia 99% ya genes katika mwili wa mwanadamu ni za bacteria. Genetically we are 99% bacteria!
 
Je , wajua kuwa kuanzia tarehe 26-07-2015 Edward Lowasa alihama CCM na kujiunga
CHADEMA baada ya kukatwa na wazee wa "kitengo".
 
Jeeeeeeee!wajuwaa...........................................

jakayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa_zpse87357ec.jpg


:bolt:
CC wangewange

hahaaaaaa.......
mbavu zangu mie..sasa huwa anaenda kujifungulia hao watoto
muhimbili au mwananyamala...?

cc: ritz , LUMUMBA buku 7.
 
Last edited by a moderator:
Je wajua yule muigizaji maarufu wa filamu wa kuitwa Samuel L Jackson maishani mwake mpaka ilipofikia kuondokewa na Baba yake mzazi alibahatika kuonana nae mara mbili tu
 
Je wajua waamini wa rastafari hutumia bangi kama sakramenti takatifu?
 
Back
Top Bottom