Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Kicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.


Najua wajua ila nakujuza zaidi.
Mkuu unaposema kufanya mapenzi mara 26 kwa huyo Kicheche ni sawa na kukimbia umbali wa km 360 kwa siku, umepiga hiyo hesabu kivipi? Hebu weka wazi hiyo calculation..maana yake inaonekana kila bao ni sawa na km 13.846
Sasa umejuaje kua bao moja ni hizo kilometa? Hebu nifahamishe mkuu.
 
Hawajamfia Jogoo wa kienyeji ambaye kwa siku hujirusha mara hamsini, akiamka tu anapiga cha kwanza na kabla hajaingia bandani anapiga cha 50. Hivi 48 vinakuwa kati ya asubuhi mpaka saa 11 jioni We mchunguze Jogoo anavyokuwa anaingia bandani saa za magharibi lazima ajipige cha mwisho hicho huwa cha 50 na cha kufungia siku.

Kicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.


Najua wajua ila nakujuza zaidi.
 
Kicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.


Najua wajua ila nakujuza zaidi.
Ahsante mkuu.kweli jamii forum elimu bila mipaka
 
Kama ana ejaculation...ni lita ngapi kwa siku/mwezi/mwaka?
 
Hawajamfia Jogoo wa kienyeji ambaye kwa siku hujirusha mara hamsini, akiamka tu anapiga cha kwanza na kabla hajaingia bandani anapiga cha 50. Hivi 48 vinakuwa kati ya asubuhi mpaka saa 11 jioni We mchunguze Jogoo anavyokuwa anaingia bandani saa za magharibi lazima ajipige cha mwisho hicho huwa cha 50 na cha kufungia siku.
Hahahah, Mkuu hayo sio matangopori kweli?
 
Back
Top Bottom