STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
hahaha, mbu dume wote ni Rastafarianshuku kwetu ukisema unakula majani kazi unayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha, mbu dume wote ni Rastafarianshuku kwetu ukisema unakula majani kazi unayo
Naingia chimbo kuzisaka, vipi nzuri au?Mkuu hizi tafiti zako unazipatia wapi?
Jana ya kicheche leo mbu.
haahha, A.K.A tomasoHe tobaaaa...!!!
ngoja waje "leta picha"
Jike carnivorous na dume ni rastafarian.... Duuuuuh , nw nimejuaKama ulikuwa
hufahamu basi acha nikufahamishe, "M-MBU JIKE YEYE
NDIYE ANAYENYONYA DAMU, LAKINI KUMBE M-MBU
DUME, YEYE NI VEGETARIANS, YAANI ANAKULA
NYASI..!!
...ushatoa boko!..ngoja niwahi maabara!Mbunifu atakayeanzisha biashara ya supu ya kicheche atapiga hela sana, Supu ya pweza itakosa soko. nawaza kwa sauti
Madume ni Masela yani ni mwendo wa Mjani tuJike carnivorous na dume ni rastafarian.... Duuuuuh , nw nimejua
Mkuu madikodiko yakikamilika usisahau kunistua nije kupiga zaga...ushatoa boko!..ngoja niwahi maabara!
...usiwaze kiongozi!Mkuu madikodiko yakikamilika usisahau kunistua nije kupiga zaga
Hiyo picha ya kwanza mbona kama huyo mnyama ni nyegere( honey burger) au wanafanana sana
Kesho tuletee chanzo cha siafu dume kuwa na vichwa vikubwa wakati jike lina kichwa kidogooooo.Naingia chimbo kuzisaka, vipi nzuri au?
Haaa. Haaa. Haaa. Mkuu kumbe kwetu kumoja!huku kwetu ukisema unakula majani kazi unayo
Kuna mbu wanaosababisha magonjwa mbalimbali kama vile:-Kama ulikuwa
hufahamu basi acha nikufahamishe, "M-MBU JIKE YEYE
NDIYE ANAYENYONYA DAMU, LAKINI KUMBE M-MBU
DUME, YEYE NI VEGETARIANS, YAANI ANAKULA
NYASI..!!
Mkuu Mbu wanaoambukiza magonjwa maranyingi huwa ni mbu wakike, labda ungerudi darasani kidogoKuna mbu wanaosababisha magonjwa mbalimbali kama vile:-
1. Malaria
2. Zika
3 . mabusha
N.k. sasa wewe unazungumzia mbu wanaosababisha ugonjwa upi?, tuanzie hapo ili tujue jinsi ya kukuelimisha kulingana na upeo wako
Hahaha Huenda ule msemo wa Kidume ni kichwa cha familia ulianzia kwa siafu (joke)Kesho tuletee chanzo cha siafu dume kuwa na vichwa vikubwa wakati jike lina kichwa kidogooooo.
Jibu swali ili tukuelimisheMkuu Mbu wanaoambukiza magonjwa maranyingi huwa ni mbu wakike, labda ungerudi darasani kidogo