Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Vicheche wa Dar mdebwedo mkuumkuu kwani vicheche wa Dar hufanya marangapi kwa siku?
Wewenani?
Hahahahaha OK nimekukumbuka hahahahahahahaha, Basi mkeo hayuko salama
Hang Over mbaya sanaWewe
Nadhaniha ha ha..
kauli mbiu yao nazani ni hapa mpango tu..
lkn nazani nature inahusika hapa maana hawa jamaa wangekuwa wengi kuku tungewalaza kitandani...
Mkuu unaposema kufanya mapenzi mara 26 kwa huyo Kicheche ni sawa na kukimbia umbali wa km 360 kwa siku, umepiga hiyo hesabu kivipi? Hebu weka wazi hiyo calculation..maana yake inaonekana kila bao ni sawa na km 13.846Kicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.
Najua wajua ila nakujuza zaidi.
Kwahiyo ukitaka kumtambulisha mtu kwa kusema "Huyu jamaa hajaoa" unasema "Huyu jamaa ni MUHUNI?"kiswahili sanifu MUHUNI ni mtu ambae bado hajaoa
"ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi"
mara 26 kwa siku lakini idadi yao.......🙁🙁
Kicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.
Najua wajua ila nakujuza zaidi.
Ahsante mkuu.kweli jamii forum elimu bila mipakaKicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.
Najua wajua ila nakujuza zaidi.
duuuh nimewapenda bure
vipi ulifanikiwa kuja dar kupanda mwendokasiHapana wewe ni mwanaume wa dar
Tupo pamoja NduguAhsante mkuu.kweli jamii forum elimu bila mipaka
Hahahah, Mkuu hayo sio matangopori kweli?Hawajamfia Jogoo wa kienyeji ambaye kwa siku hujirusha mara hamsini, akiamka tu anapiga cha kwanza na kabla hajaingia bandani anapiga cha 50. Hivi 48 vinakuwa kati ya asubuhi mpaka saa 11 jioni We mchunguze Jogoo anavyokuwa anaingia bandani saa za magharibi lazima ajipige cha mwisho hicho huwa cha 50 na cha kufungia siku.