Je, wajua? - Special Thread

Je wajua Chelsea football club ni timu iliyochelewa kuanzishwa na yenye mafanikio kuliko timu yoyote pale Uingereza,
Imeanzishwa March 7 1905 na moja ya mafanikio ya kujivunia ni kutwaa uefa champions league.
 
Akhsante kwa wazo zuri lakini apo mwisho umeweka pumba.sintokufa bali nitaishi
 
Uliwahi kumfanananisha kitimoto na mnyama gani!? Basi leo katika je wajua! Kitimoto ukimwangalia kwa umakini halafu ukamkuza popo ukamtoa mabawa utagundua popo anafanana vibaya mno na kitimoto.

Mkuu hujui kama tumefunga Ramadhan au unataka tu shari / fujo kutoka kwa walioko katika Mfungo sasa na hawatumii kabisa hiyo kitu ya Ng'ombe Katoliki / Nguruwe / Kitimoto?
 
hakuna mtu alibaki salama kwa kumdisi mdudu.

mdudu rosti, balimi kwa pembeni huku nasoma jf huwa nabirudika sana.


kitimoto oyeeee!

Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Reactions: PNC
Uliwahi kumfanananisha kitimoto na mnyama gani!? Basi leo katika je wajua! Kitimoto ukimwangalia kwa umakini halafu ukamkuza popo ukamtoa mabawa utagundua popo anafanana vibaya mno na kitimoto.
Weka picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…