Mkuu ww sema anafanana hata na mavi lakini hautabakia salama.tutakula tuUliwahi kumfanananisha kitimoto na mnyama gani!? Basi leo katika je wajua! Kitimoto ukimwangalia kwa umakini halafu ukamkuza popo ukamtoa mabawa utagundua popo anafanana vibaya mno na kitimoto.
[emoji23] [emoji23] true mdudu si mnyama wa sportsport... Hata hajiulizi why majini yamesanda pale?hakuna mtu alibaki salama kwa kumdisi mdudu.
mdudu rosti, balimi kwa pembeni huku nasoma jf huwa nabirudika sana.
kitimoto oyeeee!
Popo ukimtoa mabawa anakufa.kitimoto kavu ndizi 2 kachumbali nyingi na balimi nikifika kwa shemeji yako bila 3 sijashukaUliwahi kumfanananisha kitimoto na mnyama gani!? Basi leo katika je wajua! Kitimoto ukimwangalia kwa umakini halafu ukamkuza popo ukamtoa mabawa utagundua popo anafanana vibaya mno na kitimoto.
Popo ukimtoa mabawa anakufa.kitimoto kavu ndizi 2 kachumbali nyingi na balimi nikifika kwa shemeji yako bila 3 sijashuka