Je, wajua? - Special Thread

Je wajua nyangumi anakula dagaaa kamba milioni 4 kwa siku
 
1. 10% ya idadi ya watu duniani hutumia mkono wa kushoto.
2. 86% ya watu hutumia mziki ili kuondokana na stress.
3. 75% ya wanawake huuliza swali ambalo tayari wanalijua Jibu lake.
4. Umri ni namba, ukomavu ni chaguo.
5. 91% ya watu hawana urafiki tena na watu waliowaita "best friend "
6. Kicheko kirefu na Kulala vya kutosha ni tiba ya kila kitu.
7. Uhusiano mzuri umejengwa na vitu viwili... (a) kukubali ufanano wenu. (b) kuheshimu utofauti wenu
8. 91% ya watu hujisikia vibaya wakati sauti ya TV ikiwa kwenye namba Tasa.
9. Uwezo wa ulimi kuonja hupungua kwa 20% mpaka 50% ukiwa angani Kwenye ndege.
10. 90% ya watu hucheka pindi mtu anayewasemesha wanaposhindwa kumuelewa.
11. 95% ya watu huangukiwa na simu zao usoni pindi wanapochati na huku wamejilaza kitandani.

Unaweza kuongezea na ww mwana GT yale mambo unayoyafahamu kwamaana huwa tunafahamu kwasehemu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka picha ukiwa umeweka na alama mahali zilipo katika huo mwili. Bila picha hii Uzi itakuwa mbofu.
 
Je wajua? Nakama hujui acha nikijuze kwa haya macha toka duniani.

CHURCHILL,CANADA
Wakaazi wa mji huu wamejiwekea utaratibu wa kutokuweka lock magari yao wanapoyapaki,
Wakazi hawa wanafanya hivyo kuwaasaidia watumiaji wa miguu kupata msaada pale wanapokutana na dubu. Eneo hilo lina dubu wengi.

MALAYSIA
Kuna tabia hii maarufu ya kuwaogesha watoto wachanga na bia.
Wenyeji wanafanya hivi kuwakinga na magonjwa watoto wao.

ICELAND
Nchi hii imekuwa ni nchi ya kwanza duniani kwa unywaji wa cocacola

SAUDI ARABIA
Nchi hii haina mto hata mmoja.

AUSTRALIA

Nchi hii ina kondoo wengi kuliko binadamu.
Australia in kondoo wapatao 150m na watu 20m.

ARKANSAS,MAREKANI.

Ni kosa la kisheria kutamka vibaya jina la jimbo hili.
Sasa kwa wale wenzetu wenye kutamka da le salama wangeshakuwa vifungoni.

ICE CREAM

Unajua hiki ni chakula cha kichina.
Ni wachina ndo wakwanza kula icecream.

SHANGHAI,CHINA

Ni kosa kisheria kumiliki gari lenye rangi nyekundu.

MASSACHUSETTS,MAREKANI.

Ni kosa la kisheria kulala bila kuoga.

MUMBAI,INDIA

Wataalam wa mazingira wanasema
Kuvuta pumzi kwa siku moja katika mji huu ni sawa na kuvuta sigara mia kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…