CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
ni kweliKuhusu Australia kuwa na watu million 20!???????????????????
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji481] [emoji481]Natamani nikawe mtoto malaysia
Sio mtoto ni mto soma vizuriKama saudia arabia hakuna mtoto je wasaudia arabia wanazaliana vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri mkuu usiwe na haraka,ukifikisha umri kuanzia "mkubwa" na kuzeeka utaurudia tu utoto,kisha funga safari ya Malaysia 😀😀 ~Joking~Natamani nikawe mtoto malaysia
Sio kila unaloliona wewe zuri likawa zuri kwa watu wote,acha kuleta upuuzi hapa,sio kila thd lazima uingize udini ukidhani kua utaonekana kua wewe ni mjanja,huo ni ujinga uliokomaa.Saudi Arabia wanakosa mambo mengi tu mazuri kwa sababu ya sheria zao za kiislamu
Nchi kutokua na mto ni sheria ya dini? Kwahiyo nchi ambazo hazina bahari pia ni sheria wamejiwekea kutokua na bahari? Una umri gani kijana?Saudi Arabia wanakosa mambo mengi tu mazuri kwa sababu ya sheria zao za kiislamu
Kumbe huna adabu wewe mama, koma kunizoea, tafuta mwanaume mwingine wa kumzoeaSio kila unaloliona wewe zuri likawa zuri kwa watu wote,acha kuleta upuuzi hapa,sio kila thd lazima uingize udini ukidhani kua utaonekana kua wewe ni mjanja,huo ni ujinga uliokomaa.
Wewe mama nimekwambia koma kabisa kunizoea, nitakuzabua vibao hivyo mpaka ukome kunizoeaNchi kutokua na mto ni sheria ya dini? Kwahiyo nchi ambazo hazina bahari pia ni sheria wamejiwekea kutokua na bahari? Una umri gani kijana?