Nilikua hata sijui Umri wa huzi huu [emoji1] [emoji1] [emoji1] .. Leo ntachungulia ili tufanye B.day party .Je wajua, Uzi huu mpaka sasa umetimiza miaka mitatu na miez mitatu tangu kuanzishwa kwake..
Kabisa broNilikua hata sijui Umri wa huzi huu [emoji1] [emoji1] [emoji1] .. Leo ntachungulia ili tufanye B.day party .
Pengine haujaiweka vizuri kauli yako.Je wajua speed ya mkojo wa mtoto wa kike mwenye Umri chini ya miaka 7 unauwezo wa kutoboa sefuria?
yeah...na mchana ni mrefu zaidiTeh teh, kwa hiyo kule kunako venus jua linachomoza Magharibi kuelekea Mashariki?
dola ndo ninini kweli kabisa, ku prove hili soma katiba ya zanzibar ibara namba moja na mbili
Je wajua speed ya mkojo wa mtoto wa kike mwenye Umri chini ya miaka 7 unauwezo wa kutoboa sefuria?
google mpemba effectMi nnavojua yaliyochemshwa lkn yapoe kwanza. Ndo yanaganda mara 1
ulijaribu?Basi ntafanya. Asaa kheri pengine itakua dawa mana macho yangu hayako fresh
duh naogopaJe wajua kwamba paka huweza kukuua endapo atapigana na wewe mkiwa ndani huku milango imefungwa?