Je, wajua? - Special Thread

1.Chanzo.
2.Aliyekamilikaje?
A.kudindisha
B.kutungisha mimba .
C.kufikisha Kileleni.
D.kuwa na wengi
............. ?!
 
°Mwanaume aliyekamilika kila baada ya sekunde 8 huwaza ngono.
Hahaha Keep Left With This Shit But Still Life Must Go On White Man So Intelligent Mzungu Hutumia Siku Nzima Kuwaza Mapinduzi Ya Dunia Pyogyang Inawaza Jinsi Ya Kuwa Over Power Country, Chinese Wanafight Kuwa Dominant Country. Kwenye Majarida Yao Wana Publish Shit Because Wanajua Poor African Must Read It
Hivi Kweli Hata Kama Ni Ulijali Kweli 8sec Aah Never !!!
Hakuna Mtu aliyekufa Kwa Kutokuwaza Ngono Mafanikio Uliyonayo ni Ngono Tosha.
 
Si kila wanachotuambia wazungu kina ukwel.Kwa akil ya kawaida tu fikiria,unawazaje ngono tuuu...kila baada ya sekund 8??!!
 
Je wajua yule Mnyama wa kuitwa KIBOKO Maziwa yake ni rangi ya PINKI
 
1. Konokono ana uwezo wa kulala usingizi miaka mitatu mfululizo bila kuamka.

2. Yai lina vitamini zote isipokuwa vitamini C.

3. Nyangumi anaweza kuishi miezi sita bila kula.

4. Dictionary ya kwanza ya Kiingere za iliandikwa Mwaka 1755.

5. Mtu mzima mwenye Afya nzuri ana damu Lita 6.5 hadi 7.0.

6. Duniani kuna Lugha 6800, India peke yake ina jumla ya Lugha 846

7. Katika Wanyama wote wanaofurahia Mapenzi Duniani, Ni Binadamu na Samaki aina ya Pomboo pekee ndio wanaofurahia Mapenzi.

8. Mbu 1,200,000 wakikunyonya damu mara Moja, wanauwezo wa kukukausha damu Kabisa.

9. Sayari ya Saturn ina uzito mdogo Kuliko maji, kiasi kwamba maji yakiwekwa humo, yanaweza yakaelea (density of Saturn is less than density of water ?).

10. Kampuni ya SONNY wametengeneza jokofu(Fridge) ambalo ukitabasamu tu !, Mlango wake hufunguka ili kuruhusu kuchukua chochote.


Source :Radio Free Africa, kipindi cha Je, wajua ?. na Gazeti la Mwananchi (tar.24.04.2012). Karibuni tupeane ELIMU ya mambo mbalimbali.
 
Je wajua kuwa Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambapo dereva wa mbunge anatakiwa kuwa na cheti cha kidato cha nne wakati mtunga sheria(mbunge) anatakiwa ajue kusoma na kuandika tu inatosha
 
Namba saba (7) umetudanganya, wapo wanyama wengi wanaofurahia mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…