Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]°Mwanaume aliyekamilika kila baada ya sekunde 8 huwaza ngono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]°Mwanaume aliyekamilika kila baada ya sekunde 8 huwaza ngono.
Hujapita magumu weyeee!!°Mwanaume aliyekamilika kila baada ya sekunde 8 huwaza ngono.
Eeeeh,,,,kazi ipo°Mwanaume aliyekamilika kila baada ya sekunde 8 huwaza ngono.
Hahaha Keep Left With This Shit But Still Life Must Go On White Man So Intelligent Mzungu Hutumia Siku Nzima Kuwaza Mapinduzi Ya Dunia Pyogyang Inawaza Jinsi Ya Kuwa Over Power Country, Chinese Wanafight Kuwa Dominant Country. Kwenye Majarida Yao Wana Publish Shit Because Wanajua Poor African Must Read It°Mwanaume aliyekamilika kila baada ya sekunde 8 huwaza ngono.
Asante pia.Asante
Itakubidi ujilazimishe kutabasamu.10
Ni noma
In case Kama siwezi kutabasamu inakuwaje..!?
Namba saba (7) umetudanganya, wapo wanyama wengi wanaofurahia mapenzi1. Konokono ana uwezo wa kulala usingizi miaka mitatu mfululizo bila kuamka.
2. Yai lina vitamini zote isipokuwa vitamini C.
3. Nyangumi anaweza kuishi miezi sita bila kula.
4. Dictionary ya kwanza ya Kiingere za iliandikwa Mwaka 1755.
5. Mtu mzima mwenye Afya nzuri ana damu Lita 6.5 hadi 7.0.
6. Duniani kuna Lugha 6800, India peke yake ina jumla ya Lugha 846
7. Katika Wanyama wote wanaofurahia Mapenzi Duniani, Ni Binadamu na Samaki aina ya Pomboo pekee ndio wanaofurahia Mapenzi.
8. Mbu 1,200,000 wakikunyonya damu mara Moja, wanauwezo wa kukukausha damu Kabisa.
9. Sayari ya Saturn ina uzito mdogo Kuliko maji, kiasi kwamba maji yakiwekwa humo, yanaweza yakaelea (density of Saturn is less than density of water ?).
10. Kampuni ya SONNY wametengeneza jokofu(Fridge) ambalo ukitabasamu tu !, Mlango wake hufunguka ili kuruhusu kuchukua chochote.
Source :Radio Free Africa, kipindi cha Je, wajua ?. na Gazeti la Mwananchi (tar.24.04.2012). Karibuni tupeane ELIMU ya mambo mbalimbali.