Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaku-zoom tuJe!wajua Tulia ackson ndo mbunge mwanamke mwenye roho mbaya Ukanda wa EA?
Je wajua Ndugai ndo supika mwenye vidole 7 mguuni badala ya 10!
Je wajua Tundu lissu ndo Raisi ajaye? JE WAJUA?
Je wajua tasnia ya uandiishi wa habari imeingilia na shoga Musiba??
**Uholanziuhoranzi ndio nchi yenye watu warefu kuliko nchi nyingine duniani
Je wajua kuna kimondo kinaitwa Psyche, ambacho kimeundwa kwa madini ya dhahabu, chuma, nikeli na platinum... Kinakadiriwa kuwa na thamani ya $700 quantillion! Ambapo kikiletwa duniani na kugawanywa kwa idadi ya watu wote takribani billion 7, kila mtu anakuwa billionea! Kipo kati ya Mars na Jupiter na wanasayansi wanategemea kupeleka satelaiti ifikapo 2022 na kuwasili 2026. Mpaka sasa hakuna project ya kuchimba vimondo ila inatarajiwa kufika 2030 kutakuwa na kampuni ya kufanya kazi hiyo (Asteroid mining company)...
manengelo
Dah AiseeJe!wajua Tulia ackson ndo mbunge mwanamke mwenye roho mbaya Ukanda wa EA?
Je wajua Ndugai ndo supika mwenye vidole 7 mguuni badala ya 10!
Je wajua Tundu lissu ndo Raisi ajaye?
JE WAJUA?
Je wajua tasnia ya uandiishi wa habari imeingilia na shoga Musiba??
Je unajua kuwa nchini Uingereza mwanamke mjamzito akibanwa na mkojo ghafla kama kuna polisi wa kike karibu ni wajibu wake kumpa kofia yake akojolee.
Tuombe tufike 2030[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126]...Oopss....Jupiter wamenikosaaa[emoji24]
Kofia ya Plastic au?Je unajua kuwa nchini Uingereza mwanamke mjamzito akibanwa na mkojo ghafla kama kuna polisi wa kike karibu ni wajibu wake kumpa kofia yake akojolee.
Wewe lazima wakaupime kwanza.hhhahhahahaha....hii ije Bongo jaman..nakojolea kofia za trafki wooote
hhhahhahahaha....hii ije Bongo jaman..nakojolea kofia za trafki wooote