Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Je!wajua Tulia ackson ndo mbunge mwanamke mwenye roho mbaya Ukanda wa EA?
Je wajua Ndugai ndo supika mwenye vidole 7 mguuni badala ya 10!

Je wajua Tundu lissu ndo Raisi ajaye?
JE WAJUA?


Je wajua tasnia ya uandiishi wa habari imeingilia na shoga Musiba??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Je wajua

inaaminika kuwa kitu namba moja kinachosababisa mivurugano katika mahusiano mbalimbali ni pesa.
 
Je!wajua Tulia ackson ndo mbunge mwanamke mwenye roho mbaya Ukanda wa EA?
Je wajua Ndugai ndo supika mwenye vidole 7 mguuni badala ya 10!

Je wajua Tundu lissu ndo Raisi ajaye?
JE WAJUA?


Je wajua tasnia ya uandiishi wa habari imeingilia na shoga Musiba??
Madam hujaogopa hii kitu kuandika aisee?

Maana naisoma mara tatu tatu ni ngumu kumesa aisee...

Nimelike ila naogopaa
 
Ke wajua kwamba Mother Confessor wanaendana makamo na manengelo ...?

Je eajua kuwa
Shunie anaendana umri na Mzigua90 na Demiss na Madame B ?

Je wajua kuwa Mshana Jr anaendana makamo na Kiranga japo kuwa kiranga kazidi umri kidogo ?

Je wajua kuwa mama yetu FaizaFoxy amemzidi umri bwana mkubwa MAX wa jamiiforum ?

Je wajua kuwa WAKATI UNATOA HAJA KUBWA KAMA UNA MKOJO LSZIMA UTOKE kwa sababu ya kushirikiana baina ya misuli ya kibofu na kinyewo?

Je wajua kuwa tundu lissu ndio mtu wa mwanzo kupigwa risasi 16 na bado yu mzima mpaka leo....?

Je wajua kuwa mshahara kuongezwa kabla ya wakati wa uchaguzi ni sawa sawa na kumpa demu pesa kabla ya kumtongoza..?

Je wajua kuwa ndoa wakati mwingine inahitaji kudanganyana ili maenzio aridhike?

Je wajua kuwa you can not climb the ladder of success with your hand in your pockets...?
 
Ke wajua kwamba Mother Confessor wanaendana makamo na manengelo ...?

Je eajua kuwa
Shunie anaendana umri na Mzigua90 na Demiss na Madame B ?

Je wajua kuwa Mshana Jr anaendana makamo na Kiranga japo kuwa kiranga kazidi umri kidogo ?

Je wajua kuwa mama yetu FaizaFoxy amemzidi umri bwana mkubwa MAX wa jamiiforum ?

Je wajua kuwa WAKATI UNATOA HAJA KUBWA KAMA UNA MKOJO LSZIMA UTOKE kwa sababu ya kushirikiana baina ya misuli ya kibofu na kinyewo?

Je wajua kuwa tundu lissu ndio mtu wa mwanzo kupigwa risasi 16 na bado yu mzima mpaka leo....?

Je wajua kuwa mshahara kuongezwa kabla ya wakati wa uchaguzi ni sawa sawa na kumpa demu pesa kabla ya kumtongoza..?

Je wajua kuwa ndoa wakati mwingine inahitaji kudanganyana ili maenzio aridhike?

Je wajua kuwa you can not climb the ladder of success with your hand in your pockets...?



Mother Confessor mtoto sana kwangu ww...hebu uwe seruous..mwenzake nna 2kids..yy najua hana!

yaan km kuoa wanangu wataoa watoto wake😊..mie napishana miez na dada Kassie mahabat
 
Ke wajua kwamba Mother Confessor wanaendana makamo na manengelo ...?

Je eajua kuwa
Shunie anaendana umri na Mzigua90 na Demiss na Madame B ?

Je wajua kuwa Mshana Jr anaendana makamo na Kiranga japo kuwa kiranga kazidi umri kidogo ?

Je wajua kuwa mama yetu FaizaFoxy amemzidi umri bwana mkubwa MAX wa jamiiforum ?

Je wajua kuwa WAKATI UNATOA HAJA KUBWA KAMA UNA MKOJO LSZIMA UTOKE kwa sababu ya kushirikiana baina ya misuli ya kibofu na kinyewo?

Je wajua kuwa tundu lissu ndio mtu wa mwanzo kupigwa risasi 16 na bado yu mzima mpaka leo....?

Je wajua kuwa mshahara kuongezwa kabla ya wakati wa uchaguzi ni sawa sawa na kumpa demu pesa kabla ya kumtongoza..?

Je wajua kuwa ndoa wakati mwingine inahitaji kudanganyana ili maenzio aridhike?

Je wajua kuwa you can not climb the ladder of success with your hand in your pockets...?
Weeee mimi kibibi gagula hata manengelo hanifikii chaaa🤣🤣
 
Back
Top Bottom