Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Je wajua? Kitabu kitakatifu kwa wakristo kijulikanacho kama Biblia kina


[*]Herufi 3,566,480,


[*]Maneno 810,677


[*]Mistari 31,175


[*]Sura 1089


[*]Sura ndefu kuliko zote ni Zaburi 119


[*]Sura fupi kuliko zote ni Zaburi 117


[*]Mstari ambao upo katikati ya biblia (ambako kwenda mbele ni sawa na kurudi nyuma) ni Zaburi 118:8


[*]Jina refu kuliko yote katika biblia linapatikana Isaya 8:1


[*]Neno Bwana linapatikana kwenye biblia mara 1855


[*]Misitari katika biblia inayofanana neno kwa neno ni 2Wafalme 19 na Isaya 37


[*]Mstari mfupi kuliko yote ni Yohana 11:35


[*]Je wataka kujua nini juu ya Biblia?

Hii ni Biblia gani !?.......ile ya Vitabu 66 au 73 !?......na katika zile amri kumi, kuna amri moja Wakatoliki wameichomoa, sasa bado hesabu haijavurugika !?
Na hizi takwimu zako zinawakilisha Biblia ya lugha gani !? .........maana Biblia ipo mpaka ya Kibondei ! Mlendamboga
 
Last edited by a moderator:
Afadhali, Mtoto wangu kaniletea maswali yafuatayo nimeshindwa kumjibu. Mpendwa mleta uzi hebu nisaidie majibu yake:

1) Baada ya Joshua Mungu alimwinua nani ktk Wana wa Israeli ..?

2) Safina ya Nuhu ilitua mlima upi..?

3) Aliye mwongoza Paulo sala ya toba ni nani..?

4) Mwanafunzi yupi alikufa wa kwanza baada ya Yesu kupaa..?

5) Nini maana ya neno ikabodi ktk Biblia?

6) Mfalme yupi katika Biblia anafananishwa na Yesu..?

7) Watu gani katika Biblia ambao hawakuonja umauti..?

8) Babaye samson aliitwa nani..?

9) Babaye Ibrahim aliitwa nani..?

10) Watoto wa ibrahim ni wepi..?

11) Ni ipi tofauti ya Biblia na Injil ?

12) Ni ipi tofauti ya Yehova na Yesu ?.......au ni sawa ?

13) Mariam mama yake Yesu, alizaa watoto wengine baada ya Yesu ?........wangapi ?

Njoo mtaalamu we Mlendamboga
 
Last edited by a moderator:
Ajabu ndio iman hiyo hiyo imethibitika kushindwa dunian.kwan misingi yake ni ugaidi;uchawi;ujinga;usodoma;visasi;chuki
KIKOSIKAZI
come again !..........kumuua mwana wa mungu (ugaidi), kutoana mapepo kanisani na kutoa misukule (uchawi), kununua picha ya mungu dukani (ujinga), kanisa kuruhusu ushoga na mapadre kulawiti watoto (usodoma), kupiga vita mahakama ya Kadhi ambayo hawana chochote cha kuwahusu na kujifanya wanaijua sanaa ! (chuki) = Ukiristu
 
Last edited by a moderator:
Biblia ya aina gani King James, Good News au ipi?
Na imeandikwa kwa lugha gani hiyo Biblia??

Tumsifu Yesu Kristo

Au ile ya Gideoni inayowekwa Guest House !?.........naona mleta hoja kasepaaa Mlendamboga
 
Last edited by a moderator:
Hii ni Biblia gani !?.......ile ya Vitabu 66 au 73 !?......na katika zile amri kumi, kuna amri moja Wakatoliki wameichomoa, sasa bado hesabu haijavurugika !?
Na hizi takwimu zako zinawakilisha Biblia ya lugha gani !? .........maana Biblia ipo mpaka ya Kibondei ! Mlendamboga
Walijiona wajanja kwa kuandika biblia kwa lugha tofauti,hawakujuwa kama iko siku mahesabu hayatakubali.Qur'an iko kwenye lugha yake ya asili,hakuna utofauti.
 
Last edited by a moderator:
Sasa na Mzungu akija akasema biblia ina herufi anazojua yeye kwa lugha yake tushike lipi? Mtazamo tu
.
 
Sasa na Mzungu akija akasema biblia ina herufi anazojua yeye kwa lugha yake tushike lipi? Mtazamo tu
.
Hawa wameigiza Qur'an,lakini wamesahau Qur'an ina lugha moja tu,kiarabu.
Lakini biblia ziko(sio iko)lugha tofauti na maandishi na herufi tofauti.
 
Je wajua Tanzania ndio nchi pekee yenye marais wengi ? rais wa manzese,rais wa wasafi,rais wa tff,rais wa wanaume swebe japo jk ndio kiongozi wa nchi
 
Je, wajua?

Tanzania ni inchi pekee EA huwezi tofautisha kati ya mwanamke na mwanaume kitabia. Wote wako na tabia za kike!
 
Je wajua Richard Nixon ndiye Rais pekee wa Marekani kuwahi kujiuzulu Urais akiwa madarakani...
 
Je wajua Marekani ina maraisi wanne walio uliwa wakiwa madarakani,.…?
 
Back
Top Bottom