Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi niliposema ni mtoto wa Kiboko pekee?the way ulivosema kama vile ni mtoto wa kiboko tu ndie anaeweza kunyonya akiwa majini...lakini umesahau kuna watoto wa nyangumi,au kwa kiboko kuna upekee upi mdau?? ndo hapo naomba unieleweshe..wala sio ugomvi ndugu yangu...
je wajua sauti zina rangi mbali mbali hivyo kumwezesha mtu asiyekuwa na uwezo wa kusikia kuzitambua sauti hizo kwa kuangalia na ku analyse rangi zake?
Je wajua utakapohesabu kimaandishi(sio kimatamshi) kwa lugha ya Kiingereza kuanzia namba moja hukutani na herufi A mpaka utakopofika 1000, kifupi ni kwamba kuanzia moja hadi mia tisa tisini na tisa(hakuna herufi A)sawa...
Kubwa la watoto ni Le mutuz
Je wajua utakapohesabu kimaandishi(sio kimatamshi) kwa lugha ya Kiingereza kuanzia namba moja hukutani na herufi A mpaka utakopofika 1000, kifupi ni kwamba kuanzia moja hadi mia tisa tisini na tisa(hakuna herufi A)
Je wajua kuwa chura anapenda maji lakini yasiwe ya motoo?....!
Je wajua kuwa binadamu hazeeki maini?
Je wajua?
Familia nyingi nchini marekani hutumia nusu ya kipato chao kwa ajili ya chakula na karibia nusu yote inayobaki hutumika kupunguzia uzito.
(Wapiga box utafiti hauwahusu)
mmmh hii haina ushahidi kabisa .Na research yake ni ngumu kufanyika .
ju wajua uzito wa tembo unalingana au umepishana kidogo sana na uzito wa mnyama nyangumi?? wajua hilo??