Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndoroooooboooo leo nimeota natoka bk napanda ndege kwenda Marekani na nikakutana na Rick Ross tukapanda Rolls roys mpaka kwa Mayback musik group nikatia voko ..wakati naimba nikapaza sauti mpaka mke wangu anacheka..
Je wajua kuwa ukitaka kujua kama demu ana mtoto au aliwahi kubeba mimba basi mkaribishe kwa chai na mkate, kwa vyovyote vile atakataa na ataomba kitafunwa kingine kama kipo,kama hakipo yyuko radhi kunywa chai kavu kuliko kula mkate, fuatilia
Je wajua kuwa wanawake wakiwa kwenye hedhi wana uwezo mkubwa wa kuhisi uwepo wa Nyoka.
Je wajua asilimia kubwa ya Watanzania ni watoto
Je wajua, Tanzania Ni Nchi pekee ambayo vyama vya upinzani vilikua vinapinga ufisadi lakini ghafla vikanunuliwa na mafisadi?
Je wajua kuwa ukitaka kujua kama demu ana mtoto au aliwahi kubeba mimba basi mkaribishe kwa chai na mkate, kwa vyovyote vile atakataa na ataomba kitafunwa kingine kama kipo,kama hakipo yyuko radhi kunywa chai kavu kuliko kula mkate, fuatilia