mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Je wajua kuwa ukitaka kujua kama demu ana mtoto au aliwahi kubeba mimba basi mkaribishe kwa chai na mkate, kwa vyovyote vile atakataa na ataomba kitafunwa kingine kama kipo,kama hakipo yyuko radhi kunywa chai kavu kuliko kula mkate, fuatilia
Eh,hata kama alibeba akaitoa???
Na ni kwanini mkuu???