Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Sijawahi. Ngoja nijaribu kumfanyia yule manzi kwanza ili naamini hii kituMbona waguna yakhe, have you tried it??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi. Ngoja nijaribu kumfanyia yule manzi kwanza ili naamini hii kituMbona waguna yakhe, have you tried it??
Nilikua cjuiJe wajua kua namba ya pages JF zinategemea umeset ionyeshe post ngapi kwa page?mimi niko page ya 24 sababu nimeweka kila page post 50.
Ah ah ah ah uhii kwel kuna watu humu ndanasante
kaanan ni tagamenda IPO iringa, kapernaum ni kibaoni mpanda, ninawi in kagongwa kahama na arshish ni rombo mkuu
je wajua kuwa ubongo wa binadam pamoja na kufanya unayo yaona hapa duniani si zaidi ya 4-7% ? na wanaozidi hapo wengi huwa wanakuwa machizi?Binadamu huutumia ubongo wake kwa asilimia isiyozidi moja (1%).
mkuu umetisha sanaa,,kula likes 10001:mtu akiwa analia halafu chozi la kwanza kudondoka likatokea jicho la kulia basi kilio kile ni cha furaha na likitokea jicho la kushoto linaasharia ni majonzi
2:tunavalishana Pete za ndoa kwenye kidole cha kushoto kwa sababu hiki kidole ni pekee kilichoonganishwa moja kwa moja na mshipa wa vein unao peleka damu kwenye moyo moja kwa moja
3:duniani tupo billion 7 hivyo ukisema ukutane na kila mtu kwa kila sekunde moja basi utachukua miaka 32 kukutana na sisi wote
4:utafiti umeonyesha kuwa binadam wengi tunakuwa na furaha kila inapofika 7:26 pm (saa moja jion) kila jumamosi
5:kumbe mende akikugusa labda hata kwa bahati mbaya basi ni lazima akimbilie mahali salama na akifika anafanya kama kujisafisha
6:kila mwaka kwa wastani wanakufa watu 7000 kutokana na madhara ya miandiko ya ki daktari ambayo inapelekea kuchambuliwa na kueleweka vibaya mfano na wauza madawa wanatafsiri vibaya na wkakupa dawa nyingine tofauti na iliyoandikwa
7:ukiingia Google ukawa search hizi namba "241543903" basi utakutana na picha za watu mbalimbali wame piga wamejifungia kwenye friji
8:96% ya watu hawajui kama osman bin laden alishawahi kuwa agent wa CIA MIAKA ya 1980
9:watu wanaocheza game za video wanakuwa wepesi wa kufanya maamuzi hata katika maisha yao ya kila siku ya kawaida
10:95% hawaipendi Sauti yao wenyewe iliyorokediwa kwenye video
11:bill Gates alishawahi kumwambia mwalim wake kuwa lazima atakuwa millionea akifikisha miaka 30.. Akawa billionea akiwa na miaka 31
12:mabadiliko ya haraka ya kihisia kutoka kwenye mood ya furaha ukaingia kwenye mood ya huzuni ni kiashiria kwamba kuna mtu una mmiss sana
13:uwezo wa mwanamke kusoma hisia za mtu ni mara kumi ya uwezo alionao mwanaume
14:75% ya watu hujaribu kurud kitandani asubuhi Ili wamalize tu ndoto zao mbazo hazikukamilika
15:utafiti uliofanyika kwa watu wazima 3000 unasema kulala upande wa kushoto wa kitandani una kufanya uwe na mitazamo chanya zaidi
16:viatu virefu wanavovaa dada zetu vilitengenezwa kwa ajili ya wanaume hasa wanaouza nyama buchan na lengo ilikuwa kuzuia kugusana na damu iliyopo chini
17:kwa wastani unaweza kujiangalia kwenye kioo mara tano na kiasi kikubwa ukajiona unavutia tofauti na uhalisia kumbe hata huvutii sana sasa ile ni kazi ya part fulani katika ubongo. Asante ubongo
18:kwa utafiti wa wanawake wa UK umeonyesha kwa siku wanawake hujitathimi juu ya muonekano wake si chini ya mara tisa
Na ni asilimia 4 tu ya wanawake ndo wanaridhika na muonekano walionao
19:111111111 mara 111111111=12345678987654321
20:ukilia unatoa homoni ya stress na ndo maana ukimaliza tu kulia unaanza kuhisi kama unajiskia vizuri hivi
21:rangi halisi ya pundamilia ni nyeusi ile nyeupe ndo mkanda tu iliyojizungusha
22:HATA UJITAHIDI KWA NAMNA GANI HUWEZI KUKUMBUKA JINSI NDOTO ULIYOOTA ILIVYOANZA SANA SANA UTAKUMBUKA KATIKATI NA ILIVYOISHIA
23:kama mabinti mapacha wakiolewa na wanaume wawili mapacha basi Watoto watakaozaliwa na kila couple watafanana kila kitu
24:KUNA WAKATI UNAHISI UME MMISS MTU FULANI UKWELI NI KUWA HAUJAMMISS YEYE BALI NI MEMORIES
25:75% ya mawazo yetu ni tafakar za kurudisha kumbukumbu na kutengeneza kwa Ubunifu wa hali ya juu namna tunavotaka maisha yawe mazuri
26:watu wenye tabia ya kuisaidia wengine mara kwa mara huwa na furaha na ina ongezeka jinsi wanavyozeeka
27:ASILIMIA 90 YA BINADAMU WANAFIKIRIA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU JUU YA JAMBO FULANI KIPINDI WAKIWA WANAOGA
28:asilimia 90 ya unawowasamehe bado unawahitaji kuwa sehemu ya maisha yako
29:mamalia anayekuwa haraka ni nyangumi na anayekuwa taratibu kupita wote ni BINADAMU
30:WANAUME WANAOWABUSU WAKE ZAO KILA ASUBUHI WANA FAIDA YA KUISHI MIAKA 5 ZAIDI MBELE
31:WANAWAKE WANA JIKUTA WANAVUTIWA NA WEWE ENDAPO TU WAKIGUNDUA KUNA WANAWAKE WENZAO ZAIDI YA WAWILI WANAKUANGALIA WEWE BILA YA WEWE KUWAONA WAKIKUANGALIA
32:mimba ya jack chain HAIKUWA miezi 9 ilikuwa 12
33:ng'ombe ana uwezo wa Kutoa maziwa mengi akikamuliwa kipindi anasikiliza nyimbo tulivu
34:KUMBE MBU AKISHAKUNYONYA DAMU HAKUACHI MPAKA AKUKOJOLEE JAPO KIDOGO
Kisa cha kutokuoga nini....je wajua..??Huyu mlimbwende acha tu, sijui niendelee, jamani huyu mlimbwende, mjue naumia mie, kama vipi naendelea.
Je wajua yule mlimbwende muigizaji filamu wa kuitwa Halle Berry hakuoga kwa kipindi cha miezi miwili mfululizo wakati wakiwa wanatengeneza filamu yao jina JUNGLE FEVER
Naam, Najua.Kisa cha kutokuoga nini....je wajua..??