JE?, UNAJUA KWAMBA
Wanaume wasio waaminifu wana IQs ndogo sana kulingana na utafiti wa kisayansi.
Nusu ya wanawake wote ambao wanakufa kutokana na mauaji , kuuawa na waume zao wa sasa au wa zamani .
Wanaume hudanganya mara 6 kwa siku, ambayo ni mara mbili zaid ya wanawake
Kama unahisi Laptop yako inajoto , wala usijaribu kuiweka kwenye mapaja yako kama wewe nimwanaume, inaweza kusababisha utasa.
Wanaume hutumia karibu miezi sita kunyoa ndevu katika maisha yao yote.
Kutokana na utafiti uliofanyika inasemekana kuwa wanaume wenye wake wanaovutia wametajwa kuridhishwa zaidi katika ndoa zao,
Mwanaume mwenye umri wa miaka 99 , alimpa talaka mke wake mwenye umri wa miaka 96 , baada ya miaka 77 ya ndoa, kwa sababu aligundua kuwa mkewe alikuwa na mahusiano nje ya ndoa mwaka 1940.
Uvutaji wa Sigara unaweza kusababisha utasa kwa wanaume.
Ifikapo mwaka 2020, China inaweza kuwa na wanaume kati ya milioni 30 na milioni 40 ambao hawawezi kupata wake.
Wanaume ni wakwanza zaidi kusema "nakupenda" kuliko wanawake ,kutokana na utafiti
uliofanyika.
Wanaume hutokwa jasho mara mbili zaid ya wanawake .
Uwezekano wa wanaume kujiua ni mara 3 had 4 zaid ukilinganisha na wanawake...
MORE AT.....
WAJANJATZ