Je, wajua ushindi goli Moja shirikisho sawa na Simba kufungwa 5-0 CAF champions?

Kwani nyie nyumamwiko mlipata goli ngapi kwa vibonde Kengold na Coastal Union tena msaada wa refa? Unapata wapi ujasiri wa kuikejeli Simba wakti na nyie mnaishi kwa mbeleko ya marefa? Mdaka mishale sasa hivi anamanua tu watu wanajipigia tu.
 
Kwani nyie nyumamwiko mlipata goli ngapi kwa vibonde Kengold na Coastal Union tena msaada wa refa? Unapata wapi ujasiri wa kuikejeli Simba wakti na nyie mnaishi kwa mbeleko ya marefa? Mdaka mishale sasa hivi anamanua tu watu wanajipigia tu.
Tupo kimataifa mkuu
 
ukimtoa mzee kikwete na babaake,mliobaki wote kichwani ni -0.
watu ambao hawajui mpira wanasahau kwamba msimu huu simba wanatengeneza timu, matokeo chanya wanayoyapata ni swala lingine kabisa
 
ukimtoa mzee kikwete na babaake,mliobaki wote kichwani ni -0.
watu ambao hawajui mpira wanasahau kwamba msimu huu simba wanatengeneza timu, matokeo chanya wanayoyapata ni swala lingine kabisa
Simba- hii inayoshinda Kwa penalty
 
Wananchi sisi kama Simba Tunaomba Tuwaazime Point 3 zetu mtazirudisha mkishinda huko kwa waarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…