Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

1. Insane.
2. Ignorance.
3. Selfishness....

Ila hayo yote uliyosema, wameanzisha chama na wana ushawishi mkubwa sana Taifa Zima, And u can’t simply do without then....

Hemu wewe smart show one thing you have done tokea uzaliwe?
 
1. Insane.
2. Ignorance.
3. Selfishness....

Ila hayo yote uliyosema, wameanzisha chama na wana ushawishi mkubwa sana Taifa Zima, And u can’t simply do without then....

Hemu wewe smart show one thing you have done tokea uzaliwe?
Labda ushawishi wa ghasia, fujo, maandamano, kutengeneza matukio ya kubumba & kupinga "killer key two." Nadhani mngefaa sana tu kwenye fani ya kuchonga vinyago vya historia kwa ajili ya picha za kumbukumbu. Je niko fair enough, au nipandishe volume???
 
Wenye hekima, wanaostahili heshima ya kuitwa VIONGOZI katika jamii, baada ya uchaguzi wa aina hii, wenye majeraha kiasi hiki katika jamii ya watanzania, hujitahidi kutafuta suluhu, hutafuta uponyaji wa Taifa.

Nathan Mpangala, mwanafalsafa anayewasilisha ujumbe wake kupitia katuni, kupitia televisheni ya ITV, hivi karibuni alitoa ujumbe mfupi kama ifuatavyo:
1) Uchaguzi
2) Matokeo
3) Maridhiano
Na akahoji kwanini namba 3 huwa ngumu sana kote duniani?

Ni wazi kwamba umeongeza mashambulizi kwa upinzani siku hizi ili serikali hii ikuone na kukutambua. Inaeleweka. Lakini sikutarajia Pasco kuna siku utajishusha na kujidhalilisha kiasi hiki. Yaani afadhali hata Musiba.
 
Your statement should begin with "still." Where did you go to school?
Baloney phoney.

I am not even going to entertain the frivolous folly of your highfalutin hullabaloo, haranguing hyperboles and ignorant ignoble ideologue's illogic.

Where is the justification for your case?

Facts and figures please, logic and levelheadedness.

Neither childish chicanery nor political pugilism will be entertained.
 
We mzee acha hasara ila JPM SIO KBS khaa bila kupepesa macho amesema hana muda wa uteuzi
 
Wanalalamika kuvunjwa kwa Katiba huko nao wakivunja kwa kutoteua Makamu wa I wa Rais, kutoteua Wabunge wa Viti Maalumu na huku wakipokea ruzuku kimaficho!
 
You have an ample opportunity to defend yourself, but suddenly, strangely, all your talking drums are peeling a cacophonous monotone plus discordant, inharmonious, repetitious, unchanging intonation of style. When did you lose the ability to improvise your natural instinct that you are only awkwardly going along with non-native scripter's ochestration???
 

U can’t do without
 
Last chance for you to redeem yourself by providing a logical justification for your stance please.

Before I relegate you to my ignore list like the flat earth society member you clearly seem to be.
 
Last chance for you to redeem yourself by providing a logical justification for your stance please.

Before I relegate you to my ignore list like the flat earth society member you clearly seem to be.
We can easily forgive a child who is afraid of the darkness; but the real tragedy of life is when people like you are either afraid of, or cannot express themselves succinctly.
 
We ni mpumbavu na mjiinga wa mwisho, kabla haujaandika hapa ulipaswa ututafute mawakili na tukueleweshe, na ujue mwanasheria (mtu mwenye degree tu ya sheria bila kua wakili) kama ulivyo ni mtu incompetent kitaaluma so sishangai kuhusu mabandiko yako ya kijinga.

Ili kitu kiwe kina hodhiwa na jamii basi ni lazima sheria flani iseme wazi, na ili kitu kiwe kina public interest basi lazima kitu icho kina athiri maisha ya wanajamii directly, vyama vya siasa haviwezi kua na public interest since its an aptional, mtu ana anachagua kwa kupenda na halazimishwi, so chadema au sau haviwezi kuathiri maisha ya watu moja kwa moja kama vikigoma na hakuna atakae athirika direct.

Wanapewa ruzuku sababu nisheria na taratibu zilizowekwa.

Idiot
 
Kama haya maelezo uliyotoa wanaCdm hawawezi kukuelewa na kukubali ukweli basi kuna tatizo kwenye vichwa vyao.
 
At it again! Ujinga, ujinga, ujinga, ujinga! Mayalla unashida gani? Au unajiona wewe ni cream ya JF of GT's? Si vizuri kila wakati kuwaita usiowapenda kuwa ni wajinga, wajinga, wajinga. Pascal, mwanasiasa ambaye mimi ninamuona na kumuamini kuwa ni mkweli si lazima nawe umuone hivyo, siasa ni imani kama zilivyo dini, uvumilivu ni muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…