Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Hivi wewe Pascal kususia viti maalum ni ujingauijinga ila kuua watu ili kuzuia wapinzani wasipate ubunge ndio akili? Utakuwa mpumbafussna wewe
 
Dikteta anapoumiza watu, yeye hajui maana ya public interest? shame on you , zamani nilikuwa naambiwa mtu kadiri anavokuwa/kuzeeka anakuwa na hekima/busara kwa TZ mtu anavyokuwa/kuzeeka ndiyo anazidi kuwa mjinga zaidi.
 
MAYALA JPM alishakwambia wewe ni njaa na hiyo njaa ndiyo inayokutesa unakosa mwelekeo mara uwe mwanaume timamu mara uwe na tabia za Ki-shoga. Kama una akili timamu ungenyamaza kimya. Wewe kura za Kawe zilitoka wapi, kwa nini mitandao ifungwe kama mlikuwa mnataka kutenda haki. Yaani ingewezekana ninyi CCM ngesimamisha jua kuchomoza siku 3 ili mfanye maambo yenu gizani mlifungue siku ya kumtangaza Rais.
Sijaona jounalist brain washed kama wewe. its obvious kura zimeibiwa kwa kubadilisha matokeo na hii hata wasimamizi wengi wa uchaguzi wamesema wamefanya kwa amri toka juu na wamefanya dhidi ya dhamira zao kwa kulinda uhai wao. Utumbo unaoongea hapa unakupotezea heshima. Dont think people are not informed. Hao hao intelligence ndio wanatoboa siri nyingi mno.
 
Alimradi kuna nafasi ya kutumia Platform ya Bunge kupitisha Agenda zao kwa wananchi basi wafanye hivyo.
 
Mkuu elvischirwa , naomba unisamehe bure, kila mtu ana kiwango chake cha insanity, no one is perfect, nami kiwango changu ni kwenye managing Diversity ya maamuzi mabaya ya viongozi wa vyama bila kupima the outcome ya maamuzi hayo ambayo mimi nimeyaita ni ya kijinga in Nyerere's voice, na kwenye issues za ujinga ujinga, siwasemi tuu wapinzani, huwa ninakisema hata chama changu pale kinapotuletea ujinga ujinga!.
Sorry for this, nitajitahidi sana kuongeza humility, being humble na kuwavumilia, ninaotofautiana kwa kuyaheshimu mawazo yao hata kama sikubaliani nayo!.


P
 
Hahaha kama umma ulivyokataa CHADEMA isipeleke majina ya viti maalum, na chama kikasikiliza matakwa ya umma.

People's power.
 
Pascal Mayala ni empty head tabulalasa, premature green embecile .
 

Attachments

  • IMG_20201102_232717.jpg
    142.3 KB · Views: 2
  • IMG_20201102_232717.jpg
    142.3 KB · Views: 2
Hivi wewe Pimbi Pascal Mayala kwanini mnalazimisha wabunge wa upinzani waingie bungeni si mchagueni nyie huko CCM muwe upinzani ukiwemo na we boya unayetumwa kuandika haya maujinga yako
 
Hivi wewe Pimbi Pascal Mayala kwanini mnalazimisha wabunge wa upinzani waingie bungeni si mchagueni nyie huko CCM muwe upinzani ukiwemo na we boya unayetumwa kuandika haya maujinga yako
 
Kumbuka nilikuambia kuwa Nyerere kulitumia neno ujinga si busara nawe kuliiga na kuanza kulitumia dhidi ya wale unaowachukia, Nyerere alikuwa kiongozi wa juu sana tena sana yaani juu ya sheria, neno lolote akilisema hakuna atakayemkemea hata hivyo maneno hayo hakuwahi kuyatumia dhidi ya familia yake. Kwa mara nyingine tena mimi naona neno busara ni zuri kulitumia kwa walio chini ya umri wako na wale waliokuzidi umri. Mayalla vyama umevikuta na vyama utaviacha na vyama havitakuzika na hakuna atakaesema wajinga waondoke kwenye msiba huu! RESPECT.
Ninamalizia na kauli yako nyingine mbovu ya tabia ya kike na kitoto na nikakuuliza unashida gani na mama yako. RESPECT.
 
Una tabia nyingi sana za kike. Kwanza huyo unayemwita ni insane kakuzidi kwa mambo mengi, na hata nashangaa ulikopata ujasiri wa kumkosoa kwa mafumbo mafumbo kama bi Hindu. Raisi Magufuli alisema mayala kwa kisukuma ni njaa, na ndiyo inayokusumbua. Mwanzoni ulikuwa unamwandika vibaya rais, baada ya kukupa za uso ndio ukaanza unafiki wako. Usitarajie kupewa nafasi kwa tabia zako hizi za uongo uongo.
Kama ulitaka kuongea ukweli ungezungumzia credibility ya uchaguzi, especially mapungufu yaliyojitokeza. Kama watu walivuruga uchaguzi sioni sababu ya kulazimisha wabunge wa viti maalum kwa ajili ya kuhalalisha uchaguzi uliokuwa na hitilafu nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…