Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

politics observer

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2024
Posts
385
Reaction score
299
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii…..

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kivumbi leoooo……

Kula chuma hicho…

220A562B-1FE6-430F-AC38-2CC14FD23948.jpeg
 
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii.

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kuvumbi leoooo……

Kura chuma hicho…

View attachment 3144210
IT SEEMS TO BE A VERY GOOD TOPIC, BUT IT HAS NOT BEEN PRESENTED IN A SIMPLE LANGUAGE A LAY COULD UNDERSTAND!
 
IT SEEMS TO BE A VERY GOOD TOPIC, BUT IT HAS NOT BEEN PRESENTED IN A SIMPLE LANGUAGE A LAY COULD UNDERSTAND!
Joke as a part of knowledge sharing…

No hard feelling, cz still we have lot to learn from outsider (Giant countries)
 
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii.

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kuvumbi leoooo……

Kura chuma hicho…

View attachment 3144210
Tanzania itaendelea kua na chaguzi bora na za kuaminika zaidi barani Africa na kuendelea kutambulika kama kisiwa cha amani ulimenguni.

Hata hivyo,
Tanzania itaendelea kuheshimu aina na taratibu za chaguzi za kidemokrasia kote ulimwenguni kulingana na sheria na katiba zao.

Aidha,
nawatakia uchaguzi mwema sana wananchi wote wa marikani 🐒
 
Tanzania itaendelea kua na chaguzi bora na za kuaminika zaidi barani Africa na kuendelea kutambulika kama kisiwa cha amani ulimenguni.

Hata hivyo,
Tanzania itaendelea kuheshimu aina na taratibu za chaguzi za kidemokrasia kote ulimwenguni kulingana na sheria na katiba zao.

Aidha,
nawatakia uchaguzi mwema sana wananchi wote wa marikani 🐒
Brother usinifanya nikaonekana nipo against my mother lovely Country….

Cz even my ruling party wanatumia ushawish mkubwa wa sera na hoja ku win mioyo ya wapiga kura…..

Vitenge, kofia, vijola, zoa zoa, kugawa mapikipiki hizi pilika pilika huwa naziona sn kwny vyama vya upinzani huko kwetu
 
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii.

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kuvumbi leoooo……

Kura chuma hicho…

View attachment 3144210
USA sio mafala kumpa kamala nchi, women were never made to lead, they lead only when man losses his sight

U. S Haitoweza kuongozwa na mwanamke. Tunaona kinachotokea TZ ni upuuz and nchi imepoteza heshima kama taifa.
Mwaname ni mwanamme no matter what , hata yule mama mwenye face of goat pale bungeni ni ana low self esteem and inferiory ndio maana anaiikukutumua sana

Kamala hawezi kushinda, atafeli Just as hillary did,
 
Sasa kuna faida gani kwenda kupoteza muda!
Faida ipo kiasi chake cz bado senates and house of representative huusisha kura za wananchi…

Pia kwny urais husaidia kwa vyama pinza kujitathmin, na pia kufanya machaguo sahii wakati wa kupeperusha bendera y chama chao kwny duru za urais
 
USA sio mafala kumpa kamala nchi, women were never made to lead, they lead only when man losses his sight

U. S Haitoweza kuongozwa na mwanamke. Tunaona kinachotokea TZ ni upuuz and nchi imepoteza heshima kama taifa.
Mwaname ni mwanamme no matter what , hata yule mama mwenye face of goat pale bungeni ni ana low self esteem and inferiory ndio maana anaiikukutumua sana

Kamala hawezi kushinda, atafeli Just as hillary did,
Punguza ukali wa maneno kaka, japo u have strong point to be bold here…

Ila yule kiranja wa macongress y dunia alipiga boko hatari…. (Hahaha)

Self esteem ilikuwa sakafuni kabisa, ni bora angekula buyu tuu….

Ni kama alitumia nguvu kubwa sn kuomba aheshimiwe, na achukuliwe kwny mzani wake… na vile hapendi challenge ndo balaah… labda alizani bunge lile ni km hili la akina kiemba (hahaha)
 
Tanzania itaendelea kua na chaguzi bora na za kuaminika zaidi barani Africa na kuendelea kutambulika kama kisiwa cha amani ulimenguni.

Hata hivyo,
Tanzania itaendelea kuheshimu aina na taratibu za chaguzi za kidemokrasia kote ulimwenguni kulingana na sheria na katiba zao.

Aidha,
nawatakia uchaguzi mwema sana wananchi wote wa marikani 🐒
Acha wehu, tanzania hakuna uchaguzi, hata wapinzani wanaojipeleka kugombea ni njaa tu zinawapeleka kule huku wakijua wazi kabisa kuwa wao kuambulia hata kiti cha udiwani ni fadhila za ccm tu, otherwise ccm wanaweza kuamua tu kumtangaza mgombea wao, hata kama hakupata kura mbili.
 
Ungewaambia na huko ccm waachane na huu uchafuzi wa serikali za mitaa
Juzi kati nilikutana na watoto wa skul wapo kwa foleni na document zao mikononi nikajipa moyo kuwa watakuwa kwny rokoo au folen y uji…

Japo mwalimu wao alikuwa anaoongea na cm na kusema “sawa mkuu
Majina yotetunayo”

Nikajisemea academic master atakuwa anapokea maelekezo kutoka kwa head master hahahaha…..
 
Acha wehu, tanzania hakuna uchaguzi, hata wapinzani wanaojipeleka kugombea ni njaa tu zinawapeleka kule huku wakijua wazi kabisa kuwa wao kuambulia hata kiti cha udiwani ni fadhila za ccm tu, otherwise ccm wanaweza kuamua tu kumtangaza mgombea wao, hata kama hakupata kura mbili.
Post yako inafikilisha na kuhuzunisha sn,

Japo ndo ukweli halisi, safari yetu km inchi bado ndefu sn na cjui km tutafika
 
Back
Top Bottom