Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hapana ndugu mwananchi,Brother usinifanya nikaonekana nipo against my mother lovely Country….
Cz even my ruling party wanatumia ushawish mkubwa wa sera na hoja ku win mioyo ya wapiga kura…..
Vitenge, kofia, vijola, zoa zoa, kugawa mapikipiki hizi pilika pilika huwa naziona sn kwny vyama vya upinzani huko kwetu
mbona hoja yako iko short and clear sana na wala haina mawaa.
Infact,
ni darasa and shule muhimu sana ya kuongeza ufahamu na uelewa wa wengi juu ya namna Rais wa marikani anavyopatikani 🐒