Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

..Marekani ni nchi inayoundwa na Majimbo 50.

..Kuyataja kwa uchache ni New York, Texas, New Hampshire, Delaware, Alaska, Florida, North Dakota, South Dakota, n.k.


..Kati ya hayo majimbo yako majimbo makubwa sana, ya size ya kati, na mengine madogo. Hapa nazungumzia kieneo, idadi ya watu, rasilimali, n.k.

..Sasa ili kuyaweka majimbo yote katika muungano, na kuhakikisha umoja wa kitaifa, Marekani walitengeneza mfumo wa mahsusi wa uchaguzi unaotumia kitu kinaitwa ELECTORAL VOTES, badala kura moja mtu mmoja.

..Electoral votes ni kwamba kila jimbo nimepewa UZITO fulani / Electoral votes ktk maamuzi ya kumpata Raisi wa Marekani.

..Texas wana uzito / electoral college votes 40, California 54, Colorado 10, North Dakota 3, Minnesota 10, Missouri 10, Florida 30,...

..Jumla ya Electoral College Votes kwa Marekani nzima ni 538. Nusu ya idadi hiyo ni 269.

..Sasa kwasababu kuna vyama viwili vikubwa, Republican, na Democrat, basi mashindani ni mgombea Uraisi kupata zaidi ya nusu ambayo ni 269 + 1 = 270.

..Kwa hiyo mgombea akipata Electoral College votes 270 au zaidi vyombo vya habari humtangaza mshindi hapo hapo.

..Kwa hiyo ktk uchaguzi wa Marekani wagombea hupambana kushinda kura za majimbo ili atakayeshinda mchanganyika wa majimbo yenye kura nyingi atangazwe mshindi.

..Kwa hiyo kila mpigakura anakwenda ktk uchaguzi kuhakikisha mgombea anayetaka anashinda ktk jimbo lake.

..Baada ya hapo kila jimbo litatangaza mshindi ktk jimbo husika. Zoezi litakalofuatia ni kujua mgombea yupi ana Electoral College votes nyingi kumshinda mwenzake.

..Hao mtoa mada anaowaita mabwanyenye ni waidhinishaji tu wa nini kimetokea ktk majimbo husika. Hawana uwezo wa kutamka kitu tofauti na walichoamua wananchi.
 
Wala hujui ulichokiandika,sio kwamba kura za wananchi hazimchagui Rais.Wala sio watu 538 kama ulivyosema.
Naweka kwa llugha nyepesi na mifano ieleweke.
tufanye tanzania tuna majimbo 50 ya kiutawala .
Kila jimbo linapewa idadi yake ya kura za Rais ,kwamfano lake state kura 340,coast state 120,north state 189 ,central states 220 na kuendelea.
Sssa kinachofanyika ni kwamba mimi nikishinda wingi wa kura za wananchi katika mfano lake state basi tayari nimepata kura zote 340 na ww mpinzani wangu umeambulia sifuri hata kama nilikupita kwa kura kidogo katika kura za wananchi.

Na kwa kuwa kura hazilingani ktk majimbo yote,hivyo basi wagombea huweka nguvu nyingi katika majimbo yenye kura nyingi za kumchagua Rais
 
Ila hawa ni wazee wa mwaka 1772 kweli wakati taifa la marekani linazaliwa ama ni wa baadae ? maana nawaza hawa wahenga walikuwa na akili kubwa kiasi hicho zama hizo?
Walifikiria sana kwa kuwa Marekani imewahi kuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe, hususan kati ya majimbo ya kusini na kaskazini. Kwahiyo kila jimbo likapewa namba ya kura za wajumbe.

Mgombea akishinda popular votes anapata electoral college votes zote bila tashwishwi. Uwingi wa electoral college votes unaendana pia na idadi ya watu wa kila jimbo. Kadri watu wanavyokuwa wengi, ndivyo kura za wajumbe zilivyo nyingi. California inaongoza kwa kuwa na kura za wajumbe 54 kutokana na kuongoza kwa idadi kubwa ya watu (population).
 
USA sio mafala kumpa kamala nchi, women were never made to lead, they lead only when man losses his sight

U. S Haitoweza kuongozwa na mwanamke. Tunaona kinachotokea TZ ni upuuz and nchi imepoteza heshima kama taifa.
Mwaname ni mwanamme no matter what , hata yule mama mwenye face of goat pale bungeni ni ana low self esteem and inferiory ndio maana anaiikukutumua sana

Kamala hawezi kushinda, atafeli Just as hillary did,
USILINGANISHE WAMAMA UNAOWAJUWA WEWE NA SSH WA TANZANIA WEWE UNACHUKUA TAKWIMU WAPI ZINAZOKUONYESHA TZ TUMELOOSE? HAO MATAIFA YA ULAYA WENYEWE WANAISIFIA TZ KWA JINSI ILIVYO JUMP KWA MAENDELEO DEMOCRASIA NA KILA MAZURI KUTOKANA NA HUYU MAMA WEWE UNAKUJA KUJAMBA HAPA ETI WANAWAKE HAWAWEZI KWANZA KUWA NA ADABU HALAFU JE WEWE UNA AKILI KULIKO HAO WAZUNGU WANAOMKUBALI? JIBU NI HAPANA WEWE NI KIDAMPA TU KUTOKA JALALANI
 
..Marekani ni nchi inayoundwa na Majimbo 50.

..Kuyataja kwa uchache ni New York, Texas, New Hampshire, Delaware, Alaska, Florida, North Dakota, South Dakota, n.k.


..Kati ya hayo majimbo yako majimbo makubwa sana, ya size ya kati, na mengine madogo. Hapa nazungumzia kieneo, idadi ya watu, rasilimali, n.k.

..Sasa ili kuyaweka majimbo yote katika muungano, na kuhakikisha umoja wa kitaifa, Marekani walitengeneza mfumo wa mahsusi wa uchaguzi unaotumia kitu kinaitwa ELECTORAL VOTES, badala kura moja mtu mmoja.

..Electoral votes ni kwamba kila jimbo nimepewa UZITO fulani / Electoral votes ktk maamuzi ya kumpata Raisi wa Marekani.

..Texas wana uzito / electoral college votes 40, North Dakota 3, Georgia 10, California 54, etc.

..Kwa hiyo ktk uchaguzi wa Marekani wagombea hupambana kushinda kura za majimbo ili atakayeshinda mchanganyika wa majimbo yenye kura nyingi atangazwe mshindi.

..Kwa hiyo kila mpigakura anakwenda ktk uchaguzi kuhakikisha mgombea anayetaka anashinda ktk jimbo lake.

..Baada ya hapo kila jimbo litatangaza mshindi ktk jimbo husika. Zoezi litakalofuatia ni kujua mgombea yupi ana Electoral College votes nyingi kumshinda mwenzake.

..Hao mtoa mada anaowaita mabwanyenye ni waidhinishaji tu wa nini kimetokea ktk majimbo husika. Hawana uwezo wa kutamka kitu tofauti na walichoamua wananchi.
Umeongea vzur sn mkuu…
Ni matumaini yangu hata yule ambae alikuwa anatatizwa na vile mchakato wa uchangiz wafanywa USA atakuwa sa amepata mwongozo…

Huu mfumo wa electoral college vote ukija africa utasaidia sana kupungiza janja janja za walanguzi wa chaguzi kuu na za serikali za mitaaa…

Mm naamini kila chama kinanguvu kwny baadhi ya kanda za nchi, haiwezekani ww ushinde 99% kila kanda, kila mkoa, kila wilaya na kila kanda… Huu n urasimu wa wazi kabisa
 
Walifikiria sana kwa kuwa Marekani imewahi kuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe, hususan kati ya majimbo ya kusini na kaskazini. Kwahiyo kila jimbo likapewa namba ya kura za wajumbe.

Mgombea akishinda popular votes anapata electoral college votes zote bila tashwishwi. Uwingi wa electoral college votes unaendana pia na idadi ya watu wa kila jimbo. Kadri watu wanavyokuwa wengi, ndivyo kura za wajumbe zilivyo nyingi. California inaongoza kwa kuwa na kura za wajumbe 54 kutokana na kuongoza kwa idadi kubwa ya watu (population).
Hivi let say mfano kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe calfonia na let say New york…

Hii elector college vote au kura ya majimbo inawezaje kuwa mbadala au suluhisho pekee nyakati za uchaguzi
Wala hujui ulichokiandika,sio kwamba kura za wananchi hazimchagui Rais.Wala sio watu 538 kama ulivyosema.
Naweka kwa llugha nyepesi na mifano ieleweke.
tufanye tanzania tuna majimbo 50 ya kiutawala .
Kila jimbo linapewa idadi yake ya kura za Rais ,kwamfano lake state kura 340,coast state 120,north state 189 ,central states 220 na kuendelea.
Sssa kinachofanyika ni kwamba mimi nikishinda wingi wa kura za wananchi katika mfano lake state basi tayari nimepata kura zote 340 na ww mpinzani wangu umeambulia sifuri hata kama nilikupita kwa kura kidogo katika kura za wananchi.

Na kwa kuwa kura hazilingani ktk majimbo yote,hivyo basi wagombea huweka nguvu nyingi katika majimbo yenye kura nyingi za kumchagua Rais
usiseme sielewi nilichokiandika, ww sema wananchi wanaamua kupitia idadi hiyo ya kura za majimbo kwani kila jimbo linauwakilishi wa wajumbe kadhaa kulingana na certain population….
All in all asante kwa kuiweka sawa hiii
 
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii…..

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kivumbi leoooo……

Kula chuma hicho…

View attachment 3144210
Kwa maana hiyo kura za raia wa marekani ni kura za maoni tu?
 
USA sio mafala kumpa kamala nchi, women were never made to lead, they lead only when man losses his sight

U. S Haitoweza kuongozwa na mwanamke. Tunaona kinachotokea TZ ni upuuz and nchi imepoteza heshima kama taifa.
Mwaname ni mwanamme no matter what , hata yule mama mwenye face of goat pale bungeni ni ana low self esteem and inferiory ndio maana anaiikukutumua sana

Kamala hawezi kushinda, atafeli Just as hillary did,
Tatizo Trump ni hatari zaidi kwa US na Dunia nzima.
Dingi kanasa kwenye mtego wa Urusi!
 
Tatizo Trump ni hatari zaidi kwa US na Dunia nzima.
Dingi kanasa kwenye mtego wa Urusi!
Tatizo Trump ni hatari zaidi kwa US na Dunia nzima.
Dingi kanasa kwenye mtego wa Urusi!
Ni maneno tuu brother, trump anazichanga karata zake vzur sn.

Nivile anang’ata na kupuliza….

Akija yule bibie kusagana, kuoana na misaada ya kishoga shoga ndo itajaa africa…. Very stupid women
 
Ni maneno tuu brother, trump anazichanga karata zake vzur sn.

Nivile anang’ata na kupuliza….

Akija yule bibie kusagana, kuoana na misaada ya kishoga shoga ndo itajaa africa…. Very stupid women
Kuhusu mashoga nikwambie tu kuwa idadi yao ni kubwa Tanzania kuliko US! Fuatilia kwa kina utabaini ukweli!
Kuhusu Trump ni wazi anagombea ili akwepe kifungo jela! Na akipewa Urusi itafanya yake kuisambaratisha USA!
Kingine Trump yupo kwenye nchi iliyoasisiwa na wahamiaji alafu anapiga vita uhamiaji, wakati yeye ndani mwake ana mhamiaji!
 
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii…..

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kivumbi leoooo……

Kula chuma hicho…

View attachment 3144210
Weka vizuri Ndg. Usije kupotosha watu.
Electoral College ni Utaratibu unaotoa aina fulani ya propotionate representation kwa majimbo kwa kulingana na wingi wa watu, mchango kiuchumi bila ya kuwasahau watu waishio rural areas.
Kuna majimbo 50 na pia Washington DC ilikubalika iwe na electoral college yake. Hivyo kwa ujumla kunakuwa na Electoral college 530. Ili Rais ashinde anahitaji si chini ya Electoral college 270 ( the majic number).
Kwanza ni kwambie kuwa USA is a mature Democracy kiasi kwa tofauti na nchi zetu jambo mpaka liamuliwe kuingizwa kwenye katiba linajadiliwa kwa mapana yake.
Hivyo kila Jimbo linakuwa assigned namba ya Electoral college kulingana na idadi yake ya wabunge wa Bunge la Congress ambao idadi yao kwa jimbo hutegemea vigezo nimeweka hapo juu. Mfano majimbo makubwa na yenye uchumi wa Juu ya California lina Wabunge wa Congress 58, Texas linawabunge wa Congress 40. Idadi yao ya Electoral college itkuwa hivyo hivyo yaani 58 na 40. Aidha, aidha, kwakuwa idadi ya Wabunge wa Bunge la Senate haiamui idadi ya Electoral college ( ambao ndiyo pia watachagua Rais, Hivyo kila jimbo huwa linatengewa kuchagua wabunge wa Senate WAWILI. ndiyo maana Senate ya Marekani iko na Wabunge wa kuchaguliwa 100.
Sasa wakati huu wa uchaguzi kila Muamerika huko katika Jimbo lake anakopiga kura, kiuhalisia anakuwa anamsaidia mgombea wake wa Urais kupata Electoral college za jimbo hilo. Mfano popular vote za Kamala zikiwa nyingi zaidi ya zile za Trump kwa Jimbo la California, basi Trump ataruhusiwa kuteua Electors 58 watakaoenda kupiga kura kulingana na matakwa ya WENGI KULE California( Yaani kwa mfano huu, kumpigia kura Kamala)
Faida ya mfumo HUU WA UPIGAJI KURA NI KWAMBA UNAFANYA WAGOMBEA URAIS KUKAZIA FIKRA PIA MAENEO AMBAYO HAYANA WATU WENGI. FIKIRIA MFANO, UNGEFUATWA UTARATIBU WA POPULAR VOTE PEKEE NA MGOMBEA AKAONA KUWA NEW YORK AU MFAMO MIAMI KUMEKUWA NA ONGEZEKO KUBWA LA IDADI YA WATU HASA KUTOKANA NA WAHAMIAJI WANAOINGIA MAREKANI KILA KUKICHA, BASI MGOMBEA ANGEWEKA NGUVU NA FIKRA ZAKE KWENYE MAJIMBO HAYO AKIJUA HATA NYINYI WATU WA ARIZONA MSIOMPIGIA KURA YEYE BADO ATASHINDA URAIS KWA KURA ZA WENGI WA NEW YORK NA MIANI.
MFUMO HUU WA UPIGAJI KURA UKO KWENYE KATIBA, NA UNAWEZA KUWA REVIEWED KULINGANA NA VIGEZO KUBADILIKA.
 
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.

Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.

Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.

Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii…..

Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kivumbi leoooo……

Kula chuma hicho…

View attachment 3144210
Wewe hujui kitu kuhusu uchaguzi wa Marekani ila tu una mb za kupost ujinga.
 
Kama kurabwa "wanyonge" hazina mashiko si bora wasipige waachwe hao mabwanyenye waamue nani awe rais
 
Hivi let say mfano kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe calfonia na let say New york…

Hii elector college vote au kura ya majimbo inawezaje kuwa mbadala au suluhisho pekee nyakati za uchaguzi

usiseme sielewi nilichokiandika, ww sema wananchi wanaamua kupitia idadi hiyo ya kura za majimbo kwani kila jimbo linauwakilishi wa wajumbe kadhaa kulingana na certain population….
All in all asante kwa kuiweka sawa hiii
California na New York yanasimamiwa na shirikisho (federation of USA). Kama kuna vita ni jukumu la shirikisho kutatua, si majimbo husika.

Aidha, Electoral College Votes hazikuamua vita, bali zinasaidia wagombea wawe wanaungwa mkono sehemu kubwa ya nchi ili kuleta umoja kwa kukubalika na majimbo mengi kwa kupata kura za wajumbe zaidi ya nusu ya 538 (270).

Majibu ya maswali mengine kuhusu USA soma historia ya mifumo yao ya uchaguzi maana demokrasia inatofautiana kwa kila nchi. Ila kumbuka kuwa bila ECV mgombea anaweza kufanya kampeni majimbo machache tu ya watu wengi na kuwa rais kwa popular votes peke yake, badala ya kukubalika na majimbo mengi.
 
Kweli Watanzania tuna vichwa vigumu kuelewa mambo mapesi. Zilishaletwa mada nyingi humu zikifafanunua uchaguzi wa USA unavyofanyika na Rais anavyopatikana, lakini watu wenye vichwa vigumu kama wewe na watakaokuunga mkono bado hamkuelewa.

Nenda kajielimisha kabla ya kutoa pumba hapa. Moderator nao sijui kazi yao ni nini maana mada za upotoshaji kama hizi zinaachwa.
Wewe mmarekani au?
Hao moderator wako wanahusiana nn mawazo huru ya watu?

Bro acha kujikweza sn, stay on ur thread if u gat nothing gently to contribute, hii jamii forum sio ya babaako
 
California na New York yanasimamiwa na shirikisho (federation of USA). Kama kuna vita ni jukumu la shirikisho kutatua, si majimbo husika.

Aidha, Electoral College Votes hazikuamua vita, bali zinasaidia wagombea wawe wanaungwa mkono sehemu kubwa ya nchi ili kuleta umoja kwa kukubalika na majimbo mengi kwa kupata kura za wajumbe zaidi ya nusu ya 538 (270).

Majibu ya maswali mengine kuhusu USA soma historia ya mifumo yao ya uchaguzi maana demokrasia inatofautiana kwa kila nchi. Ila kumbuka kuwa bila ECV mgombea anaweza kufanya kampeni majimbo machache tu ya watu wengi na kuwa rais kwa popular votes peke yake, badala ya kukubalika na majimbo mengi.
Yaah upo sahihi kabisa bro, hii ECV itumike pia kwny nchi zen maeneo makubwa ya kiutawala hasa yale ya kikanda, let say nigeria, congo, south africa hata huku kwetu tz….
 
Na hapo ndo tunarudi pale pale kwny hoja kuwa majority voters au popular voters hawaamui mrith wa kiti cha rais bali elector college voters (wawakilish wa majimbo husika)…

Hii ingekuja tz usingekuta mgombea chee anapata kula 99% cz kila chama kina base yake kwny baadhi y mikoa…
Ndugu jimbo ukishinda lazima upigiwe kura
Na ikionekana mjumbekapiga kura tofauti na jimbo aloshinda muhusika anaweza kushtakiwa ama kuvuliwa ujumbe hiyo ni kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi wa marekani

Ndo maana majibu ya ELECTORAL COLLEGE VOTER huwa yanajulikana mapema kabla hata hayajapigwa kwa kuangalia wingi wa majimbo aloshinda muhusika. Ndio maana STATE YA FROLIDA NEW YORK NOTH CAROLINA huwa mara nyingi zinaamuaga mshindi nani kutokana na wingi wa majimbo

Hvyo fahamu hao wajumbe wanatokana na kula za wananchi walizompigia muhusika hawaibuki tu kama uyoga wanatafutwa kwa kula kutoka kwakila jimbo
 
Back
Top Bottom