Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

Je, wajua wananchi wa Marekani hawaamui matokeo ya Rais wa Marekani?

USA sio mafala kumpa kamala nchi, women were never made to lead, they lead only when man losses his sight

U. S Haitoweza kuongozwa na mwanamke. Tunaona kinachotokea TZ ni upuuz and nchi imepoteza heshima kama taifa.
Mwaname ni mwanamme no matter what , hata yule mama mwenye face of goat pale bungeni ni ana low self esteem and inferiory ndio maana anaiikukutumua sana

Kamala hawezi kushinda, atafeli Just as hillary did,
Unapwenti mkuu je wewe ungegombea na Kamara ungeshinda kwa kigezo kuwa wewe Ni mwanaume 😂 Kamara anaweza kuzidiwa na Tramp lakini wewe huwezi kumzidi ,, hata wewe ukigombea na Rais Samia humzidi.
 
Wewe mmarekani au?
Hao moderator wako wanahusiana nn mawazo huru ya watu?

Bro acha kujikweza sn, stay on ur thread if u gat nothing gently to contribute, hii jamii forum sio ya babaako
Usitumie fursa ya mawazo huru kupotosha watu. Uhuru wa kutoa maoni usikupe fursa ya kuandika uongo.
Nimesema moderator kwa sababu wanawachekea watu kama wewe ambao mnatumia vibaya uhuru.
Jamii forum siyo yako pia na siyo sehemu ya kupotosha kisa tu una uwezo wa kuandika.
Uache tabia za kipuuzi kam hizi kama kitu huelewi bora kuuliza siyo kupotosha
 
Huu ndio uchaguzi kama kweli unataka kuona uchaguzi huru na wa haki na ndio maana kila baada ya miaka minne dunia husimama na macho na masikio kuelekezwa Marekani.

Uchaguzi wa Marekani ndilo tukio la pili kutozamwa na watu wengi duniani baada ya kombe la dunia na hii ni kwa sababu ya asili ya uchaguzi wenyewe kuwa huru na wa haki.

Hizi zinazofanyika katika nchi kama Tanzania hazifai kuitwa uchaguzi na zinatakiwa zifutwe kabisa kwa sababu ni rais ndiye huamua nani achaguliwe na nani asichaguliwe kwa ngazi yoyote ya uongozi kuanzia kwenye vitongoji hadi urais.
 
Back
Top Bottom