Hapana ndugu mwananchi,Brother usinifanya nikaonekana nipo against my mother lovely Country….
Cz even my ruling party wanatumia ushawish mkubwa wa sera na hoja ku win mioyo ya wapiga kura…..
Vitenge, kofia, vijola, zoa zoa, kugawa mapikipiki hizi pilika pilika huwa naziona sn kwny vyama vya upinzani huko kwetu
She was demanding respect, that is bad gesture as a leader, a leader cannot demand respect , a leader is honored and earned. Narudia tena, a woman was never made to lead , na ndio maana tupo kwenye bad situation kwnye historia ya nchi.Punguza ukali wa maneno kaka, japo u have strong point to be bold here…
Ila yule kiranja wa macongress y dunia alipiga boko hatari…. (Hahaha)
Self esteem ilikuwa sakafuni kabisa, ni bora angekula buyu tuu….
Ni kama alitumia nguvu kubwa sn kuomba aheshimiwe, na achukuliwe kwny mzani wake… na vile hapendi challenge ndo balaah… labda alizani bunge lile ni km hili la akina kiemba (hahaha)
Nadhani kuna point unamiss mkuu..Ni kweli wanao amua hatma ya urais ni hao electrol college voters ... Ila unachotakiwa kujiuliza ni kuwa hao electrol college voters wanapatikanaje? In the end ni suala tu la uwakilishi lakini kura zimetoka kwa wananchi...Ndio, lile n taifa la vibopa bwana.
Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi.
Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la congress ambao n vibopa wenzao ndo umuidhinisha rais mteule.
Hii imewekwa ili kulinda maslai y mgombea ambae atatumia visent vyake kuwanunulia vijora wale wazee wa kuunga mkono juhudi, hahahah ipo hivii.
Madigala 538 ndo uamua nani atakuwa rais
Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…
Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…
Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.
Kuvumbi leoooo……
Kura chuma hicho…
View attachment 3144210
Iko vile !Hata Bongo wananchi hawachagui hata mwenyekiti wa mtaa
Iko vile bandugu !Nadhani kuna point unamiss mkuu..Ni kweli wanao amua hatma ya urais ni hao electrol college voters ... Ila unachotakiwa kujiuliza ni kuwa hao electrol college voters wanapatikanaje? In the end ni suala tu la uwakilishi lakini kura zimetoka kwa wananchi...
sasa huoni kwamba hao wanaoshiriki uchaguzi Tanzania na wamekupuuza wewe na wenye mihemko wenzako.Acha wehu, tanzania hakuna uchaguzi, hata wapinzani wanaojipeleka kugombea ni njaa tu zinawapeleka kule huku wakijua wazi kabisa kuwa wao kuambulia hata kiti cha udiwani ni fadhila za ccm tu, otherwise ccm wanaweza kuamua tu kumtangaza mgombea wao, hata kama hakupata kura mbili.
Kula zingetoka kwa wananchi hillary angeshinda, cz alimpita trump majority vote ya kura zaid y million 4…..Nadhani kuna point unamiss mkuu..Ni kweli wanao amua hatma ya urais ni hao electrol college voters ... Ila unachotakiwa kujiuliza ni kuwa hao electrol college voters wanapatikanaje? In the end ni suala tu la uwakilishi lakini kura zimetoka kwa wananchi...
Including themselves ???!!She was demanding respect, that is bad gesture as a leader, a leader cannot demand respect , a leader is honored and earned. Narudia tena, a woman was never made to lead , na ndio maana tupo kwenye bad situation kwnye historia ya nchi.
Face of goat anatumia nguvu to lead , it is a sign of low self esteem and inferiority complex HAFAI
U S walishakataa kuongozwa na mwanamke na wataendelea kukataa
Anaetegemea Kamala anashinda , must have reasoning issues
As for TZ , being under woman leadership , presidential and parliament it is because we lost our eagle sight na tulikuwa tunachukulia poa sana cheo cha makamu wa Rais, if we ever respected it , we would not lose our sight
Today everyone is crying and regret deep down inclusing fisiemu
Thnks for it bro, as i was cited down there… figure ipo wazi kabisaIko vile bandugu !
Na hapo ndo tunarudi pale pale kwny hoja kuwa majority voters au popular voters hawaamui mrith wa kiti cha rais bali elector college voters (wawakilish wa majimbo husika)…Kila jimbo lina idadi fulani ya kura za wajumbe ambao huitwa electoral college votes. Ukishinda kura za wapiga kura wote (popular votes) katika jimbo fulani, unachukua kura zote za wajumbe (electoral college votes), ambazo jumla ziko 538 katika majimbo yote.
Tukumbuke kuwa kuna majimbo ambayo yana watu wengi sana, mathalani California. Waliiweka hii ili asiwepo mgombea anayeweza kupata kura nyingi (popular votes) za majimbo machache na akawa rais.
Electoral college votes zinakulazimisha ufanye kampeni majimbo mengi ili ukubalike na majimbo mengi au ukubalike sehemu kubwa kitaifa.
Kweli kaka shukrani sn kwa kuniunga mkono mwananchi mm mnyonge ninae ishi chini ya dola moja kwa siku…Hapana ndugu mwananchi,
mbona hoja yako iko short and clear sana na wala haina mawaa.
Infact,
ni darasa and shule muhimu sana ya kuongeza ufahamu na uelewa wa wengi juu ya namna Rais wa marikani anavyopatikani 🐒
Hapana sio hivyo mkuu ... sema tu siko kwenye nafasi nzuri ya kukupa somo ... It is all about uwakilishiKula zingetoka kwa wananchi hillary angeshinda, cz alimpita trump majority vote ya kura zaid y million 4…..
But wajuba 538 wakampa trump and case was closed….
Kila jimbo lina idadi fulani ya kura za wajumbe ambao huitwa electoral college votes. Ukishinda kura za wapiga kura wote (popular votes) katika jimbo fulani, unachukua kura zote za wajumbe (electoral college votes), ambazo jumla ziko 538 katika majimbo yote.
Tukumbuke kuwa kuna majimbo ambayo yana watu wengi sana, mathalani California. Waliiweka hii ili asiwepo mgombea anayeweza kupata kura nyingi (popular votes) za majimbo machache na akawa rais.
Electoral college votes zinakulazimisha ufanye kampeni majimbo mengi ili ukubalike na majimbo mengi au ukubalike sehemu kubwa kitaifa.
Kaka hawa jamaaa waliwaza mbali sn… lakini pia kumbuka ammendment zipo (kunamaboresho ya sera na miongozo inayosimamia chaguzi), zen bunge linavote rais anadondoka sign bac inakuwa sheria rasmiIla hawa ni wazee wa mwaka 1772 kweli wakati taifa la marekani linazaliwa ama ni wa baadae ? maana nawaza hawa wahenga walikuwa na akili kubwa kiasi hicho zama hizo?
Kula zingetoka kwa wananchi hillary angeshinda, cz alimpita trump majority vote ya kura zaid y million 4…..
But wajuba 538 wakampa trump and case was closed….
I need source mbona mm nakuja kwenu kwa source…Acha uongo. Electoral college ni majimbo aliyoshinda mgombea sio watu wanaopiga kura.
Wao wajumbe ndo wajuba ss ndugu yangu, wala haupo mbali sn na mm…. Ukubwa wa jimbo ndo unaamua wingi wa uwakilish as (elector college voters) collect me if am wrongUnakisea sio wajuba. Kila Jimbo Lina Idadi ya kura unaposhinda. Hovyo wajumbe wa kila Jimbo watakutana kudhibitisha hizo kura za kila Jimbo kwa Idadi.
Hapana ukisema majimbo unakosea, sema wajumbe mzeeAcha uongo. Electoral college ni majimbo aliyoshinda mgombea sio watu wanaopiga kura.