[emoji23][emoji23][emoji23] Mna talent gani sasa? Ya kufunga kikoi au kupanda mnazi?We're the smartest generation nyie someni sisi talents kibao tunajitambua hatuna ujinga sana someni sana maana despite na anavyokazana kusoma ila bado elimu haimisaidii[emoji28][emoji28][emoji28]zaidi ya kuajiriwa
Habari ndo hiyo!Basi hivo ndivo ilivo.
Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.
Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.
Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.
Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.
Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.
Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.
Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
😀😀Sasa huko si ndo kwa manamba?? Mijitu inashindia mihogo mibichi kama nguruwe[emoji3][emoji3],pwan ni kwa waungwana hatitaki vurugu
Watu wa bara ni washamba mpaka leo imagine vijana wao bado wanabaka ng'ombe na punda mpaka leo.
Uzi umenifurahisha sana [emoji16][emoji16]Ukweli ni huo Mkuu,
Bara ni shamba na dunia ilianza kuchangamka maeneo ya pwani tokea kitambo.
Wakati watu wa pwani wanajenga miji yao na kuishi pamoja kule sigimbi ndio kwanza watu walikuwa wanagombea mapango na mawe yaliyolainika Kwa ajili ya makazi.
Wengi wao wakiishi katika koo zao pasi na kuchanganyika na watu wengine.
Unakuta Kila ukoo na chaka lake,ustaarabu utatokea wapi. Unakuta binadamu anatoa harufu Kali ya beberu,mwili wake umefunikwa Kwa vipande vya ngozi (lubega) huyo ndo mtawala wao na wale watawaliwa wameficha pale mbele kwenye kiwanda Cha kuchakata watoto Kwa kipande Cha ngozi huku makalio yakiendelea kufurahia mandhari.
Huwezi kumfananisha mtu wa pwani ambaye anaujua ustaarabu tokea zamani na mtu ambaye akiamka asubuhi anasafisha uso wake Kwa mkojo wa punda hata siku moja.
Watu wa pwani wazee wa vibarakashia wanywa kahawa huku wakishushia na kashata nyakati za jioni wamejivalia misuli huku wakibalizi Kwa mbaali wavuvi wanatoka baharini na samaki walionona. Wakati huo ukipita mitaani unakutana na mpishano mkali wa harufu ya chakula kinachoandaliwa Kwa ustadi wa hali juu.
Kadiri usogeavyo unapata kusikia sauti za pe pe pe pe ni wale wanaopepeta mchele,na zile za kro kro kro za wale wanaokuna Nazi. Si mtu wa pwani yule asiyeijua ladha halisi ya wali nazi.
Wakati huo kule bara ni muda wa kula mihogo na viazi Ile iliyochomwa kwenye jivu la moto. Vitoto vyao vikifukuzana na kuparamia mtu huu na ule. Na wale vijana ndo muda wao wa kurudi kuokota mabungo na wengine wakiburuza minofu ya nyumbu kutoka mawindoni.
Ama Kwa hakika watu wa pwani duniani kote ndio kielelezo cha kustaarabika.
Washamba nyie angalia mwenyewe talent zote then fananisha na huko kwenu mmetuzidi kuoza meno tu[emoji23][emoji23][emoji23] Mna talent gani sasa? Ya kufunga kikoi au kupanda mnazi?
Hahaha, nani aliyeoza meno sasa? [emoji23] ninyi hamna akili zaidi ya kutawaza na kufunga kikoiWashamba nyie angalia mwenyewe talent zote then fananisha na huko kwenu mmetuzidi kuoza meno tu
Jiangalieni huyo ujinga unatoka bara ushamba wenu wa mikoani msiulete pwaniHahaha, nani aliyeoza meno sasa? [emoji23] ninyi hamna akili zaidi ya kutawaza na kufunga kikoi
Mkuu nipo Nyamongo hapa Nyangoto, hatari sanaWazaliwa wa Bara huwaona wazaliwa wa Pwani, wakuja, lihoya!
[emoji23]nilienda Nyamongo nikaitwa LIHOYA! Kutuliza nikaambiwa Sisi tunapenda kuita watu oyaah!
Makavu tu naulizwa wewe umetokea wapi, mwingine akadakia huyo ni lihoya!
Lihoyaaa wakuja!Mkuu nipo Nyamongo hapa Nyangoto, hatari sana
Wapi weyeee....wabara ndio wameinvest na kutawala hiyo pwani. Wewe nenda kafunge kikoi ukatawaze kisha upeleke pesa ya minazi kwa Mangi [emoji23][emoji23][emoji23]Jiangalieni huyo ujinga unatoka bara ushamba wenu wa mikoani msiulete pwani
Hata uinvest ushamba ni mzigoWapi weyeee....wabara ndio wameinvest na kutawala hiyo pwani. Wewe nenda kafunge kikoi ukatawaze kisha upeleke pesa ya minazi kwa Mangi [emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni ukweli maeneo ambayo waarabu walikaa ustaarabu uliingia mapema Sana tofauti na maeneo Kama shinyanga