Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Tajiri zaidi alikuwa Rupia ambaye ni ngosha wa Shinyanga
  • ww hujui historia kumbe, Enzi hizo za kupigania Uhuru, DOSSA Azizi alikuwa anaitwa 'The BANK' Jiulize kwa nini walimuita Hilo Jina 'BANK'
  • Maalim Mzee Mohammed Said njoo ufundishe vijana Historia hawaijui @
 
Hakuna unachokijua ! Unabahatisha tu. Tangu lini Lalago wakaishi wanyantuzu. Kajifunze upya we bado sana.
 
Hivyo vikabila vidogo vidogo tunavidharau sana sisi wasukuma tunaona ni goi goi tu hawana mbele wala nyuma
 
Tajiri alikuwa msukuma John Rupia hao wengine walikuwa waganga njaa tu
 
Wote wanadharauluiana.

Watu wa bara wanaona watu wa pwani kuwa ni wapenda starehe, uswahili , wavivu wa kutupa n.k.

Ndio maana wamekuja pwani wamewakuta wao na ujanja wao wakatajirika na kuwaajiri hao hao watu wa Pwani ila nadra sana ukute mzaramo ni tajiri halafu yuko Mbeya au Simiyu
 
Hakuna unachokijua ! Unabahatisha tu. Tangu lini Lalago wakaishi wanyantuzu. Kajifunze upya we bado sana.
Wacha ncheke mie[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Hapa Lalago ambapo Kuna njia panda ya kwenda kwimba na meatu kama unatokea maswa kwenye hili rough road.

Kuna masalia ya waarabu na mji uliotapakaa umasikini kweli kweli

Kuna magofu tu kila sehemu na nyumba za kizamani

Unaanza kuwakana ndugu zako

Kwanza hizi ng'ombe ni za kinyarwanda?

Watu tunatembea ndugu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]🥲
 
kitu pekee anachoweza jivunia Msukuma ni ng'ombe na Uchawi.

Maana wilaya ndogo ya meatu mkoa wa Simiyu Ina waganga 4000 waliosajiriwa na serikari.

Usisahau wilaya ya Bariadi ndio Ina kile Kijiji maarufu Cha Gambosi ila waswahili wanaita Gamboshi.

Je wasiosajiriwa ni wangapi?

Kuna wachawi wangapi?

Ukija huku utagundua hawa watu Bado hawajaendelea na jamii zao ni za kijima.

Huyo mmoja mmoja aliyefanikiwa haionyeshi hali halisi ya huku.
 
waliojenga na wenye maisha mazuri kwa asilimia kubwa Pwani ni watu kutoka Bara. Pwani ni wapuuzii sana
 
Akili za punguani hizo! Eti huyu ni wa pwani huyu ni wa bara, ustaarabu wao basi pale Kariakoo na nyumba zao za kuezeka kwa makuti enzi hizo mbona walishindwa kwenda na mabadiliko na wengi wao kusogezwa pembezoni huko.
 
waliojenga na wenye maisha mazuri kwa asilimia kubwa Pwani ni watu kutoka Bara. Pwani ni wapuuzii sana
Kwa hiyo Wasafwa pale Mbeya mjini, Mbeya vijijini ni wapuuzi maana waliojenga pale ni wageni na sio kabila mwenyeji?

Elewa wageni huenda sehemu na mitaji, fursa ya kazi, Biashara pamoja na connection.

Hawa wapo Bara, tatizo ni nini? Mji wao uendelezwe na wageni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…