Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Huu ni ukweli maeneo ambayo waarabu walikaa ustaarabu uliingia mapema Sana tofauti na maeneo Kama shinyanga
Sema ushoga ustaarabu gani??!!!mishoga kibao ipo pwani, na kama hujui wewe dar imejengwa na watu kutoka mikoani kama hujui tafuta hotel kubwa zote uliza wametokea wapi??!mbona tanga , lindi na pwani umasikini wa kumwaga kuliko bara ingia mbeya, arusha, mwanza, nk uone maendeleo kiazi wewe tena kote huko utaona waislam wengi masikini sana tembea uone wewe mfano iringa tu nenda kajionee
 

Wacha watuone hivyo lakini ukweli ni kwamba bila hao wanaowaita wa bara hadi leo wangekuwa nyuma sana kimaendeleo ndio maana pwani yote waliopo ni waliotoka bara.
Hawa jamaa wa pwani ni wavivu mno mno hawana plan hata ya kesho.Akiamka asubuhi hajui mchana atakula nini wao kununua unga robo anaweza songa ugali hajui atapata mboga wapi kama ni jirani anakuja na kibakuli kukuomba mboga amalizie ugali wake.
Hata kwenye ma hospitali wanawake wa pwani wanaojifungua wanakabiliwa na upungufu mkubwa mno wa wekundu wa damu.
Hawajasoma na hata maendeleo ya shule hata matokeo shule za bara ndio zinaongoza.Najua zipo shule zinazoongoza hapa Dar lakini wamiliki ni wabara.
Mimi binafsi siwezi oa mwanamke wa pwani hata kama mahari ni jogoo akili ya maendeleo hakuna wao wanawaza kushindana kuvaa Khanga za mafumbo na kucheza ngoma.Mkazi wa pwani hata asome lakini unakuta ile element ya uswahili bado ipo.Yupo mkubwa mmoja wa serikali marehemu namuhifadhi alishaombaga ruhusu kwa boss wake kuwa watoto wanakwenda kuchezwa ngoma.
 
Hao wanaoshinda saluni kujipodoa na kujiuza Kama wanawake?!

Nguvu nyingi akili kisoda... Kulimishwa kuliko gombe?!

Kuongea kiluga luga kugonga maneno kwa vile kiswahili sio lugha mama yenu?!

Tuwe wakweli ... Mtu wa bara Ni .mjanja ..si mvivu ila anastaarabika akija pwani..Dar..nk..
 
Safi sana kama ujumbe wataudharau, bado wataendelea kuwa wajinga tu
 
We jamaa unaongea kinyama[emoji3]
 
Usibishane nao sana,wao wanaishia kufanya vibarua kwa Wahindi na Waarabu na kuongea majungu tu.Hukuti mtu wa bara anapanga foleni kwa Bakhresa anasubiri apewe hela za msaada
 
Alafu akaja ngosha kutoka Chattle,akawa anawafokea na kuwaburuza wakaufyata
Kwani ametoboa!?.....ngosha mkoyi katumia nguvu nyingi kisha akaumwa stress,ikampa umauti!

Siku hizi mzigo mzito hawapewi akina ngosha. Tunabeba wenyewe. Wakina ngosha wanachemka😄

Mwadera nkoi, Ulimola?
 
Kwani ametoboa!?.....ngosha mkoyi katumia nguvu nyingi kisha akaumwa stress,ikampa umauti!

Siku hizi mzigo mzito hawapewi akina ngosha. Tunabeba wenyewe. Wakina ngosha wanachemka😄

Mwadera nkoi, Ulimola?
😆😆😆😆🙌
 
Nyumba nyingi Kariakoo zimeuzwa kwa Wahindi na Waarabu mwanzoni mwa miaka ya tisini baadae wazawa wakastuuka wakawa wanajenga kwa ubia. Wakinga,wachaga,wapemba na wengineo wengi wanakodisha fremu tu! Na wengi wamekuja hivi karibuni ukiondoa wapemba.
Nyumba nyingi Kariakoo zimeuzwa kwa Wahindi na Waarabu mwanzoni mwa miaka ya tisini baadae wazawa wakastuuka wakawa wanajenga kwa ubia. Wakinga wachaga wapemba na wengineo huwa wanapanga fremu tu.
 
Chai
 
Tumewafukuza mjini waswahili wa pwani na sasa wabara ndio wenyewe.
Wewe ndo wale wa mikoani wanaosemaga......"unajua kule kwetu Dar haya mambo hamna"


Psychologically, you are ashamed to say where is your orgin. Na njia pekee uonekane mjanja ni kusema ni wa Dar na ku-deny ukweli kwamba hauna asili ya Pwani.
 
Sio Tanzania tu, hata UK, watu wa London huwaona wenzao wanaotokea North kuwa ni Washamba. Miji ya North ni Kama Liverpool, Manchester, Leeds, Newcastle n.k

Watu wa North UK Accent zao huwa ni ngumu kidogo kuliko wa London ambao wanaongea soft Accent except wa Essex ambao wanajifanya ma Gangsters.
 
Umewasahau wazigua. Ndugu zetu kabisa hao.
 
Umeajiriwa kuchunga ng'ombe we choka mbaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…