Wasomi wa bara hutumia vigezo gani kuyapima maendeleo?[emoji23][emoji23]Comment ya Kwanza na ya pili imebeba dharau ya Hali yaa juu sn[emoji28]..watu mnaoishi sehemu za joto kwenye maji ya chumvi mna dharau sn Ila mnachojua ni kuvaa misuli na kucheza bao la kete kwenye vijiwe vya kahawa huku maendeleo mkipishana nayo
Maendeleo yapi tena hayo[emoji1787][emoji1787]watu wa pwani wamestaarabika kwasababu mzungu na mwarabu alikuwa lazima akanyage aridhi ya pwani kabla ajafika maeneo mengine, n
bahari ndio ilikuwa the main and only entrance ya walioleta ustaarabu pwani (mzungu & mwarabu)
tukitaja sehemu za pwani zote kuanzia dar,bagamoyo, zanzibar,tanga, kilwa... pote uko kulichamka kwasababu wazungu walikuwa lazima wafike hapo kabla ya kusambaa sehemu nyingine
lakini pamoja na ustaarabu wote wa watu wa pwani na pamoja privilage yote waliyopata kutoka kwa wazungu na warabu, watu wa pwani walishindwa kujiheshimisha kwenye nyanja nyingi kama vile elimu na maendeleo. Mwisho wa siku walishindwa hata kuendeleza miji yao mpaka alipokuja mtu wa bara kumpa changamoto
kwasababu wa pwani wengi wanajua ustaarabu tu lakini elimu na maendeleo yao ni zero basi wanabaki kuwa machawa na wataalamu wa kusagiana kunguni, yani maneno mengiiii lakini vitendo sifuri
watu wa pwani mlikuwa mna kila resources za kuwafanya ma giant kwenye nchi hii, lakini mlishindwa kuzoyumia hizo resources kwasababu ya umwinyi na uvivu wenu na watu wabara walovyotia maguu kuanzaa kutumia hizo resource mnaanza kujimwambafai nyie ndo wajanja na mna ustaarabu!
endelee kujimwambafai uku maeneo yenu yanachukuliwa na watu wa bara
Pwanu kwenye elimu inakuwaga ya mwisho mwisho tu[emoji1787][emoji1787]hivi ile kampeni ya tokomeza division zero kisarawe ilifanikiwa ?
Wazaliwa wa mikoa ya Pwani, ujanja wao ni kuuza ardhi kwa watu wawili wawili au watatu.Basi hivo ndivo ilivo.
Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.
Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.
Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.
Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.
Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.
Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.
Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Mkuu hivi unafahamu Tanzania ni free country na wananchi wote wanaweza kwenda popote ndani ya nchi na kufanya chochote?Sasa watu wa bara ndio wananunua makazi ya pwani hivyo wenyeji hawana ujanja zaidi ya kusogea nje ya miji(shamba)hapo washamba ninani maana mtu wa mjini wa ..1970...hawezi kuwa wa mjini wa sasa.
Tanga-Nyika.....wakielewa tu hilo jina hakuna atakayebisha.Basi hivo ndivo ilivo.
Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.
Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.
Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.
Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.
Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.
Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.
Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Kijana kwa kutumia akili yako ya kawaida unaweza kuniambia kati ya Dar es Salaam (place of peace-sehemu ya amani), mji mkubwa Tanzania na east Africa na la saba kwa ukubwa Africa nzima pia moja ya jiji linalokuwa kwa kasi zaidi duniani ukilinganisha na kilwa, wapi kuna washamba na kusiko na maendeleo?
- Mimi 'Mmatumbi' wa Kilwa, namuona Mtu wa Pwani ni mshamba tu wa kuja!
- Kilwa ndiyo mji wa Kwanza kujitengenezea Fedha yake, Wakati wao wanabadilishana Mbuzi na Chumvi Kilwa tayari Fedha ilikuwepo
Kijana kwa kutumia akili yako ya kawaida unaweza kuniambia kati ya Dar es Salaam (place of peace-sehemu ya amani), mji mkubwa Tanzania na east Africa na la saba kwa ukubwa Africa nzima pia moja ya jiji linalokuwa kwa kasi zaidi duniani ukilinganisha na kilwa, wapi kuna washamba na kusiko na maendeleo?
Alafu technically kilwa ni pwani vilevile.
Hatuwez kuizungumzia suala la elimu na Maendeleo Kwa watu wa pwani bila kuutambua mchango wa uislamu. Uislam na elimu hii inayoleta mafanikio ya maisha ya sasa (elimu dunia) ni vitu viwili tofauti. Hiki ndicho kilichosabbisha waislam wengi kutokea pwani ndicho hicho kimesbabisha pwani kutoa wasomi wachache. Elimu hii ililetwa na wazungu kupitia mishenari ambao na uislam havikai sehem mojawatu wa pwani wamestaarabika kwasababu mzungu na mwarabu alikuwa lazima akanyage aridhi ya pwani kabla ajafika maeneo mengine, n
bahari ndio ilikuwa the main and only entrance ya walioleta ustaarabu pwani (mzungu & mwarabu)
tukitaja sehemu za pwani zote kuanzia dar,bagamoyo, zanzibar,tanga, kilwa... pote uko kulichamka kwasababu wazungu walikuwa lazima wafike hapo kabla ya kusambaa sehemu nyingine
lakini pamoja na ustaarabu wote wa watu wa pwani na pamoja privilage yote waliyopata kutoka kwa wazungu na warabu, watu wa pwani walishindwa kujiheshimisha kwenye nyanja nyingi kama vile elimu na maendeleo. Mwisho wa siku walishindwa hata kuendeleza miji yao mpaka alipokuja mtu wa bara kumpa changamoto
kwasababu wa pwani wengi wanajua ustaarabu tu lakini elimu na maendeleo yao ni zero basi wanabaki kuwa machawa na wataalamu wa kusagiana kunguni, yani maneno mengiiii lakini vitendo sifuri
watu wa pwani mlikuwa mna kila resources za kuwafanya ma giant kwenye nchi hii, lakini mlishindwa kuzoyumia hizo resources kwasababu ya umwinyi na uvivu wenu na watu wabara walovyotia maguu kuanzaa kutumia hizo resource mnaanza kujimwambafai nyie ndo wajanja na mna ustaarabu!
endelee kujimwambafai uku maeneo yenu yanachukuliwa na watu wa bara
Wewe kama ni mzaramo utakuwa ni mganga wa kienyeji, huo ndio ujinga mkuu wa wazaramo.Unataka kusema mimi mzaramo ni mjinga kuliko wewe?
Acha masikhara wewe, hebu angalia wazaramo wa JF tu pekee na michango yao tu alafu ujifananishe na unachochangia wewe.
Anza na mimi.
wewe mtu pwani sikiliza, hii pwani yako haujaijenga wewe... watu wa bara wameacha mikoa yao uko wamekuja kuchukua nafasi zenu iyo ndio sababu ya mikoa uliyoitaja kuwa maskini.Maendeleo yapi tena hayo[emoji1787][emoji1787]View attachment 2246048
Tanga na Nyika wote ni samaki toka ziwa Tanganyika na ndio asili hasa ya jina Tanganyika haihusiani na mji wa tangaTanga-Nyika.....wakielewa tu hilo jina hakuna atakayebisha.
ukiwaambia ukweli kama huu wanakasirika tuHatuwez kuizungumzia suala la elimu na Maendeleo Kwa watu wa pwani bila kuutambua mchango wa uislamu. Uislam na elimu hii inayoleta mafanikio ya maisha ya sasa (elimu dunia) ni vitu viwili tofauti. Hiki ndicho kilichosabbisha waislam wengi kutokea pwani ndicho hicho kimesbabisha pwani kutoa wasomi wachache. Elimu hii ililetwa na wazungu kupitia mishenari ambao na uislam havikai sehem moja
Umeenda mbali ungeanza na Late Yohana alivyohandle mambo kisha muangalie Jk na Samy wanavyohandle mambo….
Fafanua mkuu walikuwa wanaliwa kivipi?.hawa watu wa pwani ni watu wa hovyo na umbea wake kwa waume uvivu tu umewajaa waoga sana vita hawaziwezi wao kusemana tu
ndio maana mababu zao waliliwa sana na wale jamaa kwa kisingizio tulikuwa tunakunywa gahawa na zawadi za misuli na sahani za udongo