Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Ukweli ni huo Mkuu,

Bara ni shamba na dunia ilianza kuchangamka maeneo ya pwani tokea kitambo.

Wakati watu wa pwani wanajenga miji yao na kuishi pamoja kule sigimbi ndio kwanza watu walikuwa wanagombea mapango na mawe yaliyolainika Kwa ajili ya makazi.

Wengi wao wakiishi katika koo zao pasi na kuchanganyika na watu wengine.

Unakuta Kila ukoo na chaka lake,ustaarabu utatokea wapi. Unakuta binadamu anatoa harufu Kali ya beberu,mwili wake umefunikwa Kwa vipande vya ngozi (lubega) huyo ndo mtawala wao na wale watawaliwa wameficha pale mbele kwenye kiwanda Cha kuchakata watoto Kwa kipande Cha ngozi huku makalio yakiendelea kufurahia mandhari.

Huwezi kumfananisha mtu wa pwani ambaye anaujua ustaarabu tokea zamani na mtu ambaye akiamka asubuhi anasafisha uso wake Kwa mkojo wa punda hata siku moja.

Watu wa pwani wazee wa vibarakashia wanywa kahawa huku wakishushia na kashata nyakati za jioni wamejivalia misuli huku wakibalizi Kwa mbaali wavuvi wanatoka baharini na samaki walionona. Wakati huo ukipita mitaani unakutana na mpishano mkali wa harufu ya chakula kinachoandaliwa Kwa ustadi wa hali juu.

Kadiri usogeavyo unapata kusikia sauti za pe pe pe pe ni wale wanaopepeta mchele,na zile za kro kro kro za wale wanaokuna Nazi. Si mtu wa pwani yule asiyeijua ladha halisi ya wali nazi.

Wakati huo kule bara ni muda wa kula mihogo na viazi Ile iliyochomwa kwenye jivu la moto. Vitoto vyao vikifukuzana na kuparamia mtu huu na ule. Na wale vijana ndo muda wao wa kurudi kuokota mabungo na wengine wakiburuza minofu ya nyumbu kutoka mawindoni.

Ama Kwa hakika watu wa pwani duniani kote ndio kielelezo cha kustaarabika.
Kweli we wa pwani maana hii uliyoandika ni taarabu tupu kasoro instruments tu
 
Mmeshaanza upwani na ubara, mtakuja uislam na ukristo, urefu na unene.

Sisi sote ni watanzania, Haijalishi upo Pwani au Bara...Washamba na wajanja wanapatikana sehemu yoyte ile..Unaweza kujiona mjanja ukaenda Kigoma ukaingizwa mjini
Uko sahihi unajua sasa kuna battle ya wanaume na wanawake
Nasubiri battle ya wafupi na warefu
 
Ustaarabu, maendeleo na hata kuvaa nguo tuu kulianzia pwani.
Swali siku hizi wabara wamesoma zaidi ya wapwani sasa huko ni kustaarabika zaidi?
NB; Kustaarabika asili yake ni "kuwa kama Muarabu."
Hapana hatujawa kama waarabu ila tumekuwa civilized nayo Kwa Kiswahili fasaha inajulikana kama kustaarabika
 
Ustaarabu, maendeleo na hata kuvaa nguo tuu kulianzia pwani.
Swali siku hizi wabara wamesoma zaidi ya wapwani sasa huko ni kustaarabika zaidi?
NB; Kustaarabika asili yake ni "kuwa kama Muarabu."

Acha kupofuka wewe,hao waarabu hawana freedom of worshing,demokrasia walio wengi hawajaelimika,kustaarabika huko wanakutoa wapi au kuvaa baibui,kanzu,msuli na ukaaji wakati wa kula?
 
Nahisi mleta maada kachuliwa mke na mtu wa bara sio kwa povu hilo...

hEBU TUACHANE NA UKANDA
 
Kuna kabila langu Moja lilitudhalilisha sana wakati linaingia mjini,Walikuwa walikuwa wanaweka haja zao Vichochoronii...Yaani hata uwaelekeze chooni kesho wanasahau wanakunya tena vichochoroni sasa hivi wanajiona wajanjaa.
 
Ustaarabu, maendeleo na hata kuvaa nguo tuu kulianzia pwani.
Swali siku hizi wabara wamesoma zaidi ya wapwani sasa huko ni kustaarabika zaidi?
NB; Kustaarabika asili yake ni "kuwa kama Muarabu."
Bara wamesoma ila mpaka leo wanaamini kwenye kuua albino na vikongwe, mara wapigane nondo, hadi leo wanapigiwa kampeni za kuacha ukeketaji.
 
Hakuna watu wajinga kama wakwere na wazaramo, sina shida na washamba wa bara ila kwa hawa wajinga wa pwani ndio ni sifuri kichwani.
Unataka kusema mimi mzaramo ni mjinga kuliko wewe?
Acha masikhara wewe, hebu angalia wazaramo wa JF tu pekee na michango yao tu alafu ujifananishe na unachochangia wewe.

Anza na mimi.
 
watu wa pwani wamestaarabika kwasababu mzungu na mwarabu alikuwa lazima akanyage aridhi ya pwani kabla ajafika maeneo mengine, n
bahari ndio ilikuwa the main and only entrance ya walioleta ustaarabu pwani (mzungu & mwarabu)

tukitaja sehemu za pwani zote kuanzia dar,bagamoyo, zanzibar,tanga, kilwa... pote uko kulichamka kwasababu wazungu walikuwa lazima wafike hapo kabla ya kusambaa sehemu nyingine

lakini pamoja na ustaarabu wote wa watu wa pwani na pamoja privilage yote waliyopata kutoka kwa wazungu na warabu, watu wa pwani walishindwa kujiheshimisha kwenye nyanja nyingi kama vile elimu na maendeleo. Mwisho wa siku walishindwa hata kuendeleza miji yao mpaka alipokuja mtu wa bara kumpa changamoto

kwasababu wa pwani wengi wanajua ustaarabu tu lakini elimu na maendeleo yao ni zero basi wanabaki kuwa machawa na wataalamu wa kusagiana kunguni, yani maneno mengiiii lakini vitendo sifuri

watu wa pwani mlikuwa mna kila resources za kuwafanya ma giant kwenye nchi hii, lakini mlishindwa kuzoyumia hizo resources kwasababu ya umwinyi na uvivu wenu na watu wabara walovyotia maguu kuanzaa kutumia hizo resource mnaanza kujimwambafai nyie ndo wajanja na mna ustaarabu!
endelee kujimwambafai uku maeneo yenu yanachukuliwa na watu wa bara
Tanzania ni nchi ya watu wote na mtu yoyote anaweza kwenda popote, means hata mimi naweza kutoka pwani dar kwenda bara nikafanye unachoita maendeleo.
Hii vita ya pwani na bara ni imagination.
 
Hiyo kweli watu wamikoani wachafu Sana yaani wakija hapa dam wanaigiza Maisha +kujiuza kwa buku 3 mipombe uzinzi tabia chafuchafu tu hata wanasiasa wa bara hovyo Sana refer to the late Jiwe ukatili roho mbaya wizi ukabaila so sad.
 
Wapwani ndo akina AMINA , ZULFA , MUHAMMAD, nk

Kama ndo hao mbona ni washamba tu....
1.wanapenda kula kinoma anii
2.wanapenda ngono kinoma
3.wanapenda kulewa hadi so poa
4. Ni maboya tu
5.ni maboya tu
6. Mafala tu
7. Jinga jinga tu
Psychologically kuweka hisia zako za maumivu public ni njia moja wapo ya kupooza conscious and unconscious mental conflict and unsureness.
Hivyo usiogope kuweka hisia zako hapa.
 
Basi hivo ndivo ilivo.

Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.

Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.

Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.

Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.

Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.

Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.

Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Tuchukue mfano wa JK na Jiwe? Lete majibu nipo navuta kiko
 
Ukweli ni huo Mkuu,

Bara ni shamba na dunia ilianza kuchangamka maeneo ya pwani tokea kitambo.

Wakati watu wa pwani wanajenga miji yao na kuishi pamoja kule sigimbi ndio kwanza watu walikuwa wanagombea mapango na mawe yaliyolainika Kwa ajili ya makazi.

Wengi wao wakiishi katika koo zao pasi na kuchanganyika na watu wengine.

Unakuta Kila ukoo na chaka lake,ustaarabu utatokea wapi. Unakuta binadamu anatoa harufu Kali ya beberu,mwili wake umefunikwa Kwa vipande vya ngozi (lubega) huyo ndo mtawala wao na wale watawaliwa wameficha pale mbele kwenye kiwanda Cha kuchakata watoto Kwa kipande Cha ngozi huku makalio yakiendelea kufurahia mandhari.

Huwezi kumfananisha mtu wa pwani ambaye anaujua ustaarabu tokea zamani na mtu ambaye akiamka asubuhi anasafisha uso wake Kwa mkojo wa punda hata siku moja.

Watu wa pwani wazee wa vibarakashia wanywa kahawa huku wakishushia na kashata nyakati za jioni wamejivalia misuli huku wakibalizi Kwa mbaali wavuvi wanatoka baharini na samaki walionona. Wakati huo ukipita mitaani unakutana na mpishano mkali wa harufu ya chakula kinachoandaliwa Kwa ustadi wa hali juu.

Kadiri usogeavyo unapata kusikia sauti za pe pe pe pe ni wale wanaopepeta mchele,na zile za kro kro kro za wale wanaokuna Nazi. Si mtu wa pwani yule asiyeijua ladha halisi ya wali nazi.

Wakati huo kule bara ni muda wa kula mihogo na viazi Ile iliyochomwa kwenye jivu la moto. Vitoto vyao vikifukuzana na kuparamia mtu huu na ule. Na wale vijana ndo muda wao wa kurudi kuokota mabungo na wengine wakiburuza minofu ya nyumbu kutoka mawindoni.

Ama Kwa hakika watu wa pwani duniani kote ndio kielelezo cha kustaarabika.
Naam historically civilization ilianzia pwani.
 
Pamoja na ujanja wa pwani wote akaja mzanaki mkamkabidhi inchi na akawaburuza anavyoweza sasa mna ujanja gani rudini shule
  • Kama hujui Mwl.Nyerere aliingizwa kwenye TANU na Watu wa Pwani.
  • Wapigania Uhuru 75% ni Watu wa Pwani
 
Huo ustaarabu wakuvaa misuli na madela bila nguo ya ndani ndiyo ujanja, kwasasa wanaongoza kwa umbea, uvivu, uzinzi vitoto vidogo kabisa
Binafsi napenda kuona mwanamke akiwa amevaa dela bila ya nguo ya ndani, it's so entertaining for me.
Cha msingi ni unatakiwa utambue sio wote wanavaa madela bila nguo za ndani.

Ila wanawake wa pwani ni damn!... they're good as hell.
 
Unataka kusema mimi mzaramo ni mjinga kuliko wewe?
Acha masikhara wewe, hebu angalia wazaramo wa JF tu pekee na michango yao tu alafu ujifananishe na unachochangia wewe.

Anza na mimi.
  • Mimi 'Mmatumbi' wa Kilwa, namuona Mtu wa Pwani ni mshamba tu wa kuja!
  • Kilwa ndiyo mji wa Kwanza kujitengenezea Fedha yake, Wakati wao wanabadilishana Mbuzi na Chumvi Kilwa tayari Fedha ilikuwepo
 
Back
Top Bottom